Naku......................mano ah

Naku......................mano ah

Suprise

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2012
Posts
2,696
Reaction score
1,063
Naku.............................. Manoah. lakini naogopa kukwambia coz cjui utachukuliaje
then namuogopa mama yako ticha mkali
pili kakulea kwa maadili yote cjui kama ntaweza fanikiwa,

Any Agent pls, deal anounced already
 
............... usiogope, mama yangu sio mkali sana kama ukiwa na adabu
Naku.............................. Manoah. lakini naogopa kukwambia coz cjui utachukuliaje
then namuogopa mama yako ticha mkali
pili kakulea kwa maadili yote cjui kama ntaweza fanikiwa,

Any Agent pls, deal anounced already
 
usiogope wewe sema tu, ujue mama yangu ananipenda sana....kama anavyokupenda wewe

basi nshanenepa nahisi nimepata mtermko, isije kua unanchuza burebure, anitoe baru niktangaza nia ya ..........................., hivi mnaridhishwa na mbunge wenu wa sasa hivi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom