stevoh
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 2,921
- 1,106
mzee huwa unashikwa mashavu makubwa au madogo??
khaaaa huyo kwanza ni 'Me' au 'ke' ashikwe mashavu makubwa?
mzee huwa unashikwa mashavu makubwa au madogo??
Umeona eeh! Mie, na mapenzi sana wanya kwasababu ni waaminifu
Enhee hapa nimekukamata mwenyewe unamwambia kyanaKyoMuhaya afanyeje??????au na ye amekuanza mwenyewe kama suprise?kyanaKyoMuhaya unatabasamu zuri ebu soge uni kiss
Enhee hapa nimekukamata mwenyewe unamwambia kyanaKyoMuhaya afanyeje??????au na ye amekuanza mwenyewe kama suprise?
Mwayego siwezi kukataa,ila kuwa makini we bado mtoto sawa ehhhhh?
Blue G bora umekuja huku, kule kwenu sipawezi ni pa wakubwa tu, kyanaKyoMuhaya ...... mi sijui kitu
Cheki kigugumizi kilivyokushika,haya sa hivi ndo umekuwa mtiifu bora umetoka kule huku ndo kunakufaa wewe,ila nitakuita nikiona kitu kinachokufaa na manufaa kwako umesikia mdogo wangu mzuri eeeeehhhh?
Haya bana nimekusoma,enjoy your weekend maanake ndo hiyyyyyoooooo inaanza taaraaaaatibu.Ila angalia usijaribu kunywaaa sawa we bado mdogo usije ukapata hangover kwa bia moja tu.Kunywa malta na soda sawa?Sawa kaka Blue G , usiniite mie ni wa humu humu tu. Huko kwenu mmmh...
Haya bana nimekusoma,enjoy your weekend maanake ndo hiyyyyyoooooo inaanza taaraaaaatibu.Ila angalia usijaribu kunywaaa sawa we bado mdogo usije ukapata hangover kwa bia moja tu.Kunywa malta na soda sawa?
Vizuri sana hata mi napenda sana hizo soda ila huyo sukalimama ndo nani vile mbona simfahamu?Sitotumia hela zote nitakuwa makini saaana nitautumia ushauri wako.Weekend nitakua na sukalimama. mie, sinywagi pombe nakunywaga soda ya fanta black au mirind black ni tamu izooo kaka acha tu, na wewe kaka angali usije maliza ela yako yotee
Vizuri sana hata mi napenda sana hizo soda ila huyo sukalimama ndo nani vile mbona simfahamu?Sitotumia hela zote nitakuwa makini saaana nitautumia ushauri wako.
Kuna mwalimu shuleni hua wana muita sugarmama mie nimeita tu kwa kiswahili, sawa kaka ubakize na akiba ya kutosha.