mpalu
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,521
- 876
babu toka utoke selo siku hizi uko makini kweli...kule siasani kuwa makini usije fanywa vibaya tenaNipo hapa nawaangalia tu
babu toka utoke selo siku hizi uko makini kweli...kule siasani kuwa makini usije fanywa vibaya tenaNipo hapa nawaangalia tu
zimefika mamamdogo
Tutakuletea na zawadi ya light, usijali Paloma nakupenda sana siwezi kuvunjia heshima.
Huku nilipo jioni bado haijafika...
we huoni pin gamizi nyingi, mama mzaa chema kashatoa go ahead, tunasubiri nini tena
karibu upumzike shost ila usiharibu au ungepitiliza kule jf restaurant n pub
mpenzi ngoja nikaanze maandalizi, endelea to mek them blv hatujakutana bahati mbaya kama wale wengine, ntakurudia
hivi ummu kulthum upo?? Nimekumiss ujue![/QUOTE cacico upo??Nimekumiss ujue!
Man of the match hahahahaha thats a good one!
hivi ummu kulthum upo?? Nimekumiss ujue![/QUOTE cacico upo??Nimekumiss ujue!
Marry Hunbig loves manoah too!
hivi ummu kulthum upo?? Nimekumiss ujue![/QUOTE cacico upo??Nimekumiss ujue!
nipo wangu, nakamua alizeti kwa sana