Acheni ukabila, hautawafikisha popote.
Hamjamaliza la udini mnatuletea la ukabila, ptuuu
Acheni ukabila Mwanza kuna St Agustine, CBE wana Campus yao, kuna Chuo cha Ualimu Nyegezi, kuna Chuo cha Kilimo, Bungando Hostpital kuna Chuo.
Sasa sijui unataka Mwanza wafanyie nini tofauti na mikoa mingine.
No! Ukombozi hauwezi kuanzia huko, wamelala mno. Migodi yote mikubwa iko kwao, mifugo mingi iko kwao, mbuga maarufu iko kwao, samaki wa export wapo kwao, lakini bado tu hawajaamka! Wana kila rasilimali inayotakiwa kwa ukombozi, kasoro kitu moja tu.Kanda ya ziwa ndio yenye ushawishi , lazima ukombozi uanzie lakezone kwa kishindo
We "omerah" acha hizo bhana!Pamoja na ukweli kwamba kwa miaka yote tangu uhuru mpaka sasa watu ya kanda ya ziwa wamekuwa wakikandamizwa na kunyimwa elimu, bado kundi hili kubwa limeendelea kukumbatia chama ambacho kimekuwa sababu ya umasikini mkubwa kwa wengi katika eneo hilo.
- Kwa miaka yote Serikali ilihakikisha kuwa shule za Sekondari zinabakia chache ili vijana wasipate elimu
- Serikali ikaweka mkakati wa makusudi ili eneo hilo lisipewe Chuo Kikuu cha Serikali.....
Palikuwa na sababu gani kuvipanga Vyuo Vikuu.. Dar... Morogoro... Dodoma? Kwa nini kimoja kisingekwenda kanda Ya ziwa?
- Kwa makusudi Serikali ikaweka mikakati kuhakikisha mazao ya biashara kanda ya ziwa yanapata bei za kusuasua ili wananchi wawe hoi kiuchumi....
Imefika wakati wa kila mtu kutumia alicho nacho. Kanda ya ziwa amkeni sasa na mtumie wingi wenu kwa maslahi yenu.
Anayekuja huko kutaka uraisi, kwanza ajibu swali ataifanyia nini kanda hiyo inayoibiwa mali kila kukicha na wajanja janja wanaocheka cheka tu....?
Zungusha macho na uone ni mali kiasi gani zinatoka Kanda ya ziwa na manufaa yake ni nini?
KWA KWELI NINYI WA KANDA YA ZIWA MNANIKERA....
Hivi mtachezewa chezewa mpaka lini? Mtakanyagwa kanyagwa mpaka lini? Mtaibiwa ibiwa mpaka lini? Mtadanganywa danganywa mpaka lini?
NASEMA TENA: MNANIKERA.......................EBOOOOOOO....
Kwa Afrika ... It's not the vote that count ... It's who count the votes ... Hata Kama watachagua CDM 2015 , kkama Hakuna Tume Huru ya Uchaguzi ... Tegemea Maumivu na kukereka zaidi ... Mark my word!!!
Wewe mkwapua simu, kwani bungando ni ya serikali? wasukuma wameonewa sana ifike wakati waseme basi yatosha...maji ya kunywa shida, usafiri shida, shule shida, wakilima vipamba vyao mnawapangia bei bila kujari gharama walizotumia, dawa za mifugo tabu tupu, aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaagh!!!!! wasukuma wenzangu amkeni acheni upimbihapo heading inatoa picha ya ukabila na ukanda.mbona wapo wasomi wengi tu kutoka kanda ya ziwa kwani chuo kiki dsm ni kwa ajili ya wazaramo au hospital ya bugando ni kwa ajili ya wasukuma .wanao kwenda kusoma nje wanatakiwa waishi/kukulia air port
Hahahah! Bado unatamani kufika Mwanza kupitia Nairobi ati! Iringa wameshaondoa lami ya zamani na kuweka mpya, ilhali Mtwara-Dar hapajapata kuwa na lami kwa kilometa zote. Wote Iringa na Mtwara wanalipa kodi. Bila kuishtua hii serikali mambo hayaendi.Hamjamaliza la udini mnatuletea la ukabila, ptuuu
Walinyiwa elimu mkuu, kuna kipindi mkoa wa shy na ukubwa wake wote ulikuwa na sekondari kama kumi tu hivi na nimiaka ya 90 sasa pata picha hapo watoto wanasoma au wanachunga ngombe tu na wakike wakifikisha miaka 15 ni kuolewa tu...No! Ukombozi hauwezi kuanzia huko, wamelala mno. Migodi yote mikubwa iko kwao, mifugo mingi iko kwao, mbuga maarufu iko kwao, samaki wa export wapo kwao, lakini bado tu hawajaamka! Wana kila rasilimali inayotakiwa kwa ukombozi, kasoro kitu moja tu.
Pointi muhimu sana! Kwa nini kanda ya ziwa wapangiwe bei ya kuuziwa pamba kwenye soko huria? Waache soko lipange bei.fikiri vizuri kama wewe si mwenyeji wa huko huna uchungu wowote wanaoupata vijana na wakazi wa kanda ya ziwa,hivyo unapochangia utumie akili badala ya kuropoka.
Mkuu kwa historia ya nchi hii mikoa ya kanda ya ziwa ilipaswa kuwa juu sana angalau kwenye vitu mhimu kama barabara na elimu kumbuka kilimo cha pamba, madini, mbuga za wanyama, samaki...Hahahah! Bado unatamani kufika Mwanza kupitia Nairobi ati! Iringa wameshaondoa lami ya zamani na kuweka mpya, ilhali Mtwara-Dar hapajapata kuwa na lami kwa kilometa zote. Wote Iringa na Mtwara wanalipa kodi. Bila kuishtua hii serikali mambo hayaendi.
Hujui unacho kiongea unalopoka tu bora ukae kimya kama hujui watu wa kanda ya ziwa wanavyo pigika...Mtuwache tupumue, hatunaa akili za kushikiwa kama akina fulani.
Kuchochewa tu muandamane wee afu mnakufaa nyie wakati wenzenu wanakunywa kideri na lushoro.
Kama chuo st agustine ipo.
Yaani wewe watu wakihoji mambo mhimu ya maisha yao wewe unasema ukabila na udini..kama ukabila ndiyo ulivyo acha tuwe wakabiala na si tunataka lami mpaka vichochoroni kama kilimanjaro eboooo...Ukabila na Udini nyie mtauacha lini?!!!
Nachofahamu mimi ni silaha ya mnyonge umoja,2kiamua nani awe kiongozi atakuwa tuu.
Pamoja na ukweli kwamba kwa miaka yote tangu uhuru mpaka sasa watu ya kanda ya ziwa wamekuwa wakikandamizwa na kunyimwa elimu, bado kundi hili kubwa limeendelea kukumbatia chama ambacho kimekuwa sababu ya umasikini mkubwa kwa wengi katika eneo hilo.
- Kwa miaka yote Serikali ilihakikisha kuwa shule za Sekondari zinabakia chache ili vijana wasipate elimu
- Serikali ikaweka mkakati wa makusudi ili eneo hilo lisipewe Chuo Kikuu cha Serikali.....
Palikuwa na sababu gani kuvipanga Vyuo Vikuu.. Dar... Morogoro... Dodoma? Kwa nini kimoja kisingekwenda kanda Ya ziwa?
- Kwa makusudi Serikali ikaweka mikakati kuhakikisha mazao ya biashara kanda ya ziwa yanapata bei za kusuasua ili wananchi wawe hoi kiuchumi....
Imefika wakati wa kila mtu kutumia alicho nacho. Kanda ya ziwa amkeni sasa na mtumie wingi wenu kwa maslahi yenu.
Anayekuja huko kutaka uraisi, kwanza ajibu swali ataifanyia nini kanda hiyo inayoibiwa mali kila kukicha na wajanja janja wanaocheka cheka tu....?
Zungusha macho na uone ni mali kiasi gani zinatoka Kanda ya ziwa na manufaa yake ni nini?
KWA KWELI NINYI WA KANDA YA ZIWA MNANIKERA....
Hivi mtachezewa chezewa mpaka lini? Mtakanyagwa kanyagwa mpaka lini? Mtaibiwa ibiwa mpaka lini? Mtadanganywa danganywa mpaka lini?
NASEMA TENA: MNANIKERA.......................EBOOOOOOO....
Nasema kwamba Kanda ya ziwa imebakwa na kunyanyaswa kiuchumi. Kanda ya ziwa inatakiwa ikombolewe kutoka katika makucha ya CCM, iwe kesho , mwaka kesho ama kutwa , kwa mwenye mapenzi na Kanda hii asisubiri 2015 ili aanze jitihada za kuikomboa kanda ya ziwa, Ukombozi unaanza leo. Vijana wa Kanda ya Ziwa acheni kulala.kwani ni lazima kila kitu kiwe Dar es salaam?. kama Kanda ya ziwa inafuata baada ya Dar es salaam kwa kuwa na idadi kubwa ya watu , ni kwanini wasipewe vipaumbele pia?. kama kanda ya ziwa inaongoza kwa kulipa kodi baada ya dar es salaam, ni kwanini wasipatiwe huduma zote maalumu?
Wacha ukweli usemwe. Hajasema kabila lolote hapa. viongozi na wabunge toka enzi za TANU na baadae CCM hawajawahi kutetea kanda ya ziwa ambapo idadi ya watanzania ni kubwa kuwarahisishia maendeleo yao kikanda. Tupo mbali na viwanda vya cement na vifaa vyakujengea lakini hata siku moja watu waccm hawajaona kama kuna haja ya serikali kuwapunguzia mzigo wakuvisafirisha ili vikapungua bei vifikapo huko. usafiri wa Gari moshi ulio kuwa nafuu matajiri waccm wameuangamiza ili watufikishie bidhaa kwa usafiri wa magari kwa faida kubwa, Muone hata Magufuli anakazana na kutengeneza barabara tu, je huwa akai katika baraza la mawaziri na akatetea train? ili tukapata mizigo kanda ya ziwa ikiwa ina bei nafuu?(kila kitu bei ipo juu tofauti na Dar, Moro, Tanga, Dodoma, Arusha, Mbeya, zanzibar, Nk kutokana na kusafirishwa mbali na viliko viwanda) wanaposhindwa kututolea ruzuku ya kuvisafirisha kwa nini hawaweki mkakati wa kuvijenga hukohuko kanda ya ziwa? (Mwanza, Musoma,Kagera) au jirani na hapo (tabora, Kigoma Singida, nk)
Kama sio kanisa la Katoriki kutusaidia tukapata Hospitali ya Bugando na Chuo kikuu cha sauti, pamoja na ukubwa wa kiuchumi ulioko huko kanda hii ingekuwaje sijui sisi ni watoto wa nani. Kwa kuwa sasa ccm imeshindikana kututoa katika karne ya 47, ngoja tuijaribu cdm huenda ikatuingiza katika ulimwengu wa digitali tukiwa salama. Mwanza, Musoma wameishaliona hilo na shinyanga. Kagera wameanza hasa Bukoba mjini na Karagwe. Kigoma wao wana ngwe ya kwao ni safi kabisa. Jirani zetu Tabora wamelala, sijui kwa nini hawalioni hili! Bado ninaamini ukombozi wa chi hii utaanzia kanda ya ZIWA>