Mumewaachia michwa wa CCM wawafanye watakavyo na mali zenu kwa sababu ya kuwa na madiwano wa kasorobo matokeo yake halmashauri hazipati pesa inayosthili kufanya maendeleo lakini kwa umuhimu wa mchango wa kiuchumi basi vipaumbele kama angalau chuo kikuu kimoja uwanja wa ndege wenye hadhi na bandari yenye hadhi ,yaani nyie hata vivuko tuu ni taabu sasa wapi mutajiokoa changamkeni CCM ni wakusukuma tu ,walishindwa kujenga malambo yakunyweshea mifugo wasukuma waache kutangatanga nchi nzima wakitafuta malisho huku kila siku wakipambana na wakulima