Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,262
siku hizi kuna vi mod yaan kama viko field vile...vinafanya majaribio.....ajabu sana
tunaomba Rev arudishwe fasta.....
mtu kama kashaga anafanya nini huku..hawa ndio wa kufungia kabisa ..wanaleta vurugu humu na kuchafua janvi
Hapo tu umenichekesha na kuniacha hoi