Nakasirishwa na wanaume wanaoomba namba hovyo

Nakasirishwa na wanaume wanaoomba namba hovyo

Kaomba msamaba waungwana. Alafu keshaambiwa yeye ni mtusi/mrangi... Si unajua mtusi akipata muhutu anaonekana hana maana...

Tukianza kuzungumzia sijui level,sijui class... kama ni magari mtu unazaliwa na unamilikishwa gari/magari... kama ni ndege na safari za nje watu wamejaza passport zaidi ya 15, ticket kiroba.. ni hayo tu.

;-)


Humu tuchekeshane nankufurahi tu, mambo binafsi kaa nayo. Kwa sababu ukweli/uongo unaaujua mwenyewe...
 
Hi guys,

Happy new year,

I hope all of u r ok.

Nipo hapa ku apologise kwa maneno ambayo hamkupendezwa nayo ktk mrejesho wangu, I didn't mean to offend anyone, neshwa na wording ktk maandishi yangu so I do apologise.

Hata hivyo nimepata kujifunza kitu kutoka kwenu, kuwa kumbe raia wengi wana hali mbaya kiuchumi na kimaisha, why? Sababu sikutarajia kabisa watu wawe offended kwa kusikia neno gari, kenya airways, kufunga hesabu za kampuni etc, nilipovitaja niliamini ni vitu vya kawaida sana kwa wengi wetu, sikuona sababu ya mimi kuonekana najivuna kwa kuvitaja, unapokutana na rafiki yako ktk maongezi akataja jana alikula kuku kwake then wewe ukakasirika kusikia neno kuku, inaweza kuleta picha kuwa kuku kwako ni jambo kubwa So nikajiuliza swali nisingetaja ndege nikataja train/basi nisingeonekana najivuna, hali ya raia ni mbaya kwa kweli

Kuna mwana JF mmoja alidanganya wenzie humu kuwa alinifuata pm kwa kunitega na kuwa nilimueleza kwamba mimi ni Mhaya, kwamba nakaa Gongo la mboto, na kwamba nauza duka Kariakoo, hii imedhihirisha kwamba nilichokua naongea kwenye uzi ni cha kweli, wanaume wa aina hii unaweza kuwaitaje?

Ndio wasiokua na kazi kufikia hatua kutunga uongo ili ufurahishe watu, ni wazi huyo maisha ndio yamemchanganya kufikia hatua hiyo, ni wazi alitaka kuonekana hero, sasa kwa nn nguvu hizo za kudanganya usiwekeze kwenye kazi kama unayo, hatuwezi kujenga taifa hivi.Hakuna hata mmoja alienifuata pm niliemjibu chochote niliziangalia tu na kuachana nazo.

Mwisho;
Yeyote aliekwazika na maneno ya uzi ule, ikiwemo kutamka maneno ya classes za maisha na kadhalika basi that person should find a place in his/her heart to forgive me, however msimamo wangu kuhusu wanaume kuomba namba ovyo unabaki pale pale, nguvu hizo zitumieni kufanya kazi

2014 niliombwa na idara ya HR kum recommend staff mmoja wa kiume ambae alikua anamaliza probation, ili awe confirmed, niliwaandikia barua kuwa simuhitaji kabisa, ame perform below standard, hii ilitokana na jamaa huyo kushinda akitumia simu kuliko kufanya kazi, akifika asubuhi anaanza kupiga simu za wasichana wote aliowaomba namba jana yake, na wakati anaongea wenzie wote wanamsikia akiwemo supervisor wake, tena akijisifu kabisa kuwa jana kapata namba tano za wanawake aliambiwa na HR wakuu wako wamekukataa so we are sorry sikumuonea maana kazi zake zote tunazompa ni za kusukumana kwanza

Mimi si Mhaya kama mlivyodai, mama yangu ni mtusi na baba mrangi, jukwa nalolipenda zaidi ni lile la International, habari kama za Russia, Nato, Usa, military science etc, na nime coment huko sana.

Am not arrogant at all, nilivyozungumza ni vitu vya kawaida in my life, kwenda oversees kikazi nakwenda every time and then, kumiliki gari wote mnajua sasa hivi hapa dar ni basic need na sio luxury tena, na wengi mnamiliki, kufanya kwenye kampuni za maana huenda wengi tu mkawa mnafanya sasa sioni kwa nn mtu ukasirike ukivisikia hivi unless uwe kwenye opposite direction ya hivi nilivyotaja.

Tufanye kazi kwa bidii
Nawatakia heri ya mwaka mpya

Mercy


Naanza kupata picha, kwanini wahutu waliamua yale maamuzi ya Kimbali..nyinyi ni wabinafsi sana..
 
Tabia haina dawa, unaomba msamaha kwa style ya Brock lesner.
 
Mi nilifikiri JF most mambo safi.....kila mtu ana usafiri wa nguvu,boss ofisini,HB,cute,kasoma!!!!
Haaa mkuu tupo na sisi wa manzese, mlo mmoja kwa siku tena ugali dagaa wa fungu. Ila tunafurahia maisha kuliko hata nyie wa masaki.
 
Some stupid limbukeni wa mjini kweli sasa weee unafuta kik bila identify, eti gari... Kenya Airway... So what?? Si ajabu ume spread miguu kwanza ndio ukanunuliwa hucho Kipasso!! What a paranoia douchebag
Duh watu mna hasira

But douche bag should be a man. She is just a tampon twat
 
Haaa mkuu tupo na sisi wa manzese, mlo mmoja kwa siku tena ugali dagaa wa fungu. Ila tunafurahia maisha kuliko hata nyie wa masaki.
dah mwanangu hujajua kama ugali wa dagaa ndo wenyewe huo, tena ugali wenyewe wa dona mwanangu
 
Yani ni bora unyamaze tu.. Maana hata uombe msamaha upi bado utasutwa tuu..
Mbona hata mimi mali hizo ninazo na bdo am just 22 yrs young bdo nasoma na sitaki majigambo na mtu .., just cool down, utajikuta unaichukia jf for little things like these.
 
Huyu atakuwa alikoswakoswa na ile inshu ya kimbari so kichwa yake haipo sawa!
 
Whatever You Say.You Still Sound Arrogant. Very Arrogant. No Matter How You Try To Put It You Still Sound Like You Are Proud Of Yourself Over Others Who Dont Even Know If What You Are Saying Is True Or Not. If Us Who Dont Encounter You On Everyday Life Feels Like You Are Arrogant,What About Those Who You Interract Everyday All Days??Its Not A Good Sign You Are A Grown Woman And I Suppose You Say And Do Whatever You Deem Fit. I Advice You To Do Something To Stop Thise Around You Feel Like You Are Looking Down Upon Them,But At The Same Time Dont Let It Disturb You,Your Work,Your Relations Etc. ADIOS!
 
Kuutafuta umaarufu bila kipaji ni shida sana...pole dada ongeza juhudi
 
ni vyema kama wasifu wako ungekuwa wa kwako bila ya kuweka hapa tupo watu wa level tofauti ili kuweka usawa tunajitahidi kuzungumza kwa namna ya kutoonyesha utabaka wowote .. sasa binti/ mama kila mtu akiamua kuweka wasifu wake na kuishi kwenye level yake sidhani kama hili jukwaa litakuwa na maana kabisa tungeishia kusifiana au kuchukiana ..
Dada Nimekupenda Ghafla Kwa Ulichokisema. Basi Tu Nasikia Wachaga GoiGoi Kitandani La Sivyoooo.
 
Hi guys,

Happy new year,

I hope all of u r ok.

Nipo hapa ku apologise kwa maneno ambayo hamkupendezwa nayo ktk mrejesho wangu, I didn't mean to offend anyone, neshwa na wording ktk maandishi yangu so I do apologise.

Hata hivyo nimepata kujifunza kitu kutoka kwenu, kuwa kumbe raia wengi wana hali mbaya kiuchumi na kimaisha, why? Sababu sikutarajia kabisa watu wawe offended kwa kusikia neno gari, kenya airways, kufunga hesabu za kampuni etc, nilipovitaja niliamini ni vitu vya kawaida sana kwa wengi wetu, sikuona sababu ya mimi kuonekana najivuna kwa kuvitaja, unapokutana na rafiki yako ktk maongezi akataja jana alikula kuku kwake then wewe ukakasirika kusikia neno kuku, inaweza kuleta picha kuwa kuku kwako ni jambo kubwa So nikajiuliza swali nisingetaja ndege nikataja train/basi nisingeonekana najivuna, hali ya raia ni mbaya kwa kweli

Kuna mwana JF mmoja alidanganya wenzie humu kuwa alinifuata pm kwa kunitega na kuwa nilimueleza kwamba mimi ni Mhaya, kwamba nakaa Gongo la mboto, na kwamba nauza duka Kariakoo, hii imedhihirisha kwamba nilichokua naongea kwenye uzi ni cha kweli, wanaume wa aina hii unaweza kuwaitaje?

Ndio wasiokua na kazi kufikia hatua kutunga uongo ili ufurahishe watu, ni wazi huyo maisha ndio yamemchanganya kufikia hatua hiyo, ni wazi alitaka kuonekana hero, sasa kwa nn nguvu hizo za kudanganya usiwekeze kwenye kazi kama unayo, hatuwezi kujenga taifa hivi.Hakuna hata mmoja alienifuata pm niliemjibu chochote niliziangalia tu na kuachana nazo.

Mwisho;
Yeyote aliekwazika na maneno ya uzi ule, ikiwemo kutamka maneno ya classes za maisha na kadhalika basi that person should find a place in his/her heart to forgive me, however msimamo wangu kuhusu wanaume kuomba namba ovyo unabaki pale pale, nguvu hizo zitumieni kufanya kazi

2014 niliombwa na idara ya HR kum recommend staff mmoja wa kiume ambae alikua anamaliza probation, ili awe confirmed, niliwaandikia barua kuwa simuhitaji kabisa, ame perform below standard, hii ilitokana na jamaa huyo kushinda akitumia simu kuliko kufanya kazi, akifika asubuhi anaanza kupiga simu za wasichana wote aliowaomba namba jana yake, na wakati anaongea wenzie wote wanamsikia akiwemo supervisor wake, tena akijisifu kabisa kuwa jana kapata namba tano za wanawake aliambiwa na HR wakuu wako wamekukataa so we are sorry sikumuonea maana kazi zake zote tunazompa ni za kusukumana kwanza

Mimi si Mhaya kama mlivyodai, mama yangu ni mtusi na baba mrangi, jukwa nalolipenda zaidi ni lile la International, habari kama za Russia, Nato, Usa, military science etc, na nime coment huko sana.

Am not arrogant at all, nilivyozungumza ni vitu vya kawaida in my life, kwenda oversees kikazi nakwenda every time and then, kumiliki gari wote mnajua sasa hivi hapa dar ni basic need na sio luxury tena, na wengi mnamiliki, kufanya kwenye kampuni za maana huenda wengi tu mkawa mnafanya sasa sioni kwa nn mtu ukasirike ukivisikia hivi unless uwe kwenye opposite direction ya hivi nilivyotaja.

Tufanye kazi kwa bidii
Nawatakia heri ya mwaka mpya

Mercy
Asante sana.!
 
Kwani dada ile biashara yako ya kuuza bidhaa za forever uliiacha
 
Back
Top Bottom