Tumekua na mawazo ya pamoja aseee...
Nishatuma sana barea mficho kwa mkuu asieonekana niki hitaki kubadilisha I'd, kutoka Ushiboy nakua Ushimen.
basi huyu dada atakuwa mwanafunzi mzuri wa galadudu..Mana huu ni mrejesho wa mrejesho
Huyo simfahamu mpendwa
Teh Teh mi nacheka tuu hii thread ...akanana wa @wakishua kaiba pass code za mumewe....Part 3......
@Ruttashobolwa ija bojoo
Mwenzako kanyooshwa yeye baada ya kutoa namba,ndio maana Ana hasira sana
Dada kama wewe ni mtusi basi sina haja ya kujiuliza zaidi maana ndugu yako @GENTAMYCINE a.k.a @cleverbright hana tofauti na wewe kwa majigambo.
Tena yako cha mtoto,huyo mwenzio ni balaa tupu!
HahahahahaaaMIMI MTUSI aka MNYAMBO WA BUKOBA NIMEPOTELEWA VITU VIFUATAVYO.
1. Cheti shule ya msingi ST. KINGSOVER YA LONDON ENGLAND.
2. Cheti cha sekondary. ST. MARTIN FERDNAND NEWYORK MAREKANI.
3. Cheti cha Advance . HUMBERG HIGH SCHOOL UJERUMAN.
4. Cheti cha Chuo degree. OXFORD UNIVERSITY.
5. Cheti cha Masters .HARVAD UNIVERSITY
6.Lesen ya Udereva. TOKYO DRIVING CENTRE JAPAN.
7. Bima ya Afya. INDIAN HEALTH INSURENCE INDIA.
Shikamoo WAHAYA/WANYAMBO
ha ha ha me sipo kwenye poorNo we're all ugly, poor, uneducated peasants.
ha ha hahahaMIMI MTUSI aka MNYAMBO WA BUKOBA NIMEPOTELEWA VITU VIFUATAVYO.
1. Cheti shule ya msingi ST. KINGSOVER YA LONDON ENGLAND.
2. Cheti cha sekondary. ST. MARTIN FERDNAND NEWYORK MAREKANI.
3. Cheti cha Advance . HUMBERG HIGH SCHOOL UJERUMAN.
4. Cheti cha Chuo degree. OXFORD UNIVERSITY.
5. Cheti cha Masters .HARVAD UNIVERSITY
6.Lesen ya Udereva. TOKYO DRIVING CENTRE JAPAN.
7. Bima ya Afya. INDIAN HEALTH INSURENCE INDIA.
Shikamoo WAHAYA/WANYAMBO