projectman
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 349
- 486
kwani ukiwa mgonjwa wa akili unaweza kujijua? lakini dawa zinatolewa bure pale muhimbili!Sindano Inazidi kuwaingia, nafurahi wanaposhikwa pabaya
kwani ukiwa mgonjwa wa akili unaweza kujijua? lakini dawa zinatolewa bure pale muhimbili!Sindano Inazidi kuwaingia, nafurahi wanaposhikwa pabaya
sindano jichome wewe ulie mgonjwa! ivi wanawake mko wangapi? kazi za kuajiriwa ndio zinakupa majivuno kiasi hicho? laiti ungejua mwili huo unaweza ukakuacha anytime na tukafukia na kukusahau ushinge subutu hata kuposti hizo pride! hakuna aliye bora kuliko mwingine! usijione wewe mtu wa thamani sana dadayangu huko chooni huwa unatoa vitu vya ajabu na vingine vingi harufu kali! so jichunguze alafu utulie!!Sindano inafanya kazi, tulieni iwangie
Sasa mm ndio mleta mada? Mm naunga mkono hoja zake naziona zina mashikosindano jichome wewe ulie mgonjwa! ivi wanawake mko wangapi? kazi za kuajiriwa ndio zinakupa majivuno kiasi hicho? laiti ungejua mwili huo unaweza ukakuacha anytime na tukafukia na kukusahau ushinge subutu hata kuposti hizo pride! hakuna aliye bora kuliko mwingine! usijione wewe mtu wa thamani sana dadayangu huko chooni huwa unatoa vitu vya ajabu na vingine vingi harufu kali! so jichunguze alafu utulie!!
Pamoja na kazi aliyonayo as na elimu yake ndio sasa amegudua watanzania wengi wana hali mbaya kiuchumi. na gari niMhhh! Kazi ipo
Pamoja na kazi aliyonayo as na elimu yake ndio sasa amegudua watanzania wengi wana hali mbaya kiuchumi. na gari ni
basic need kama chumvi vile. Pls you better keep quite kwani unazidi kuchefua. Napata picha jinsi unaishije na majirani zako.
ungetangaza nia ila tafuta pesa kwanza ni unyagoni mie
wahi sasa bodi la kimakonde nitoe wapi wakati mi mchaga acha hiz banaBado Hata Posti Yako Ina Uchagga.
Haya Nitatafuta Pesa Ila I Wish Uwe Na Kichwa Na Akili Za Kichagga Afu Bodi Na Trela La Kitanga Au La Kimakonde.
Very soon. Unbecomingly, but unavoidable!Itakuja tena season nyingine
Unakumbuka nilikuambia natafuta hela nije??!! Bado nasisaka nitakuja tuwahi sasa bodi la kimakonde nitoe wapi wakati mi mchaga acha hiz bana
wahi sasa bodi la kimakonde nitoe wapi wakati mi mchaga acha hiz bana
mmh mi sitaki hivi hivi natoshaTakupeleka Mombasa Kule Wanabadilisha Malori Kuwa Mabasi.
Kichwa SCANIA Bodi La Bas
saka ukipata tu we njoo ujimwage mwageUnakumbuka nilikuambia natafuta hela nije??!! Bado nasisaka nitakuja tu
Aya Misssaka ukipata tu we njoo ujimwage mwage