Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,119
- 27,936
Mfate mama yako akushauri tena kama ulivyomuomba mwanzoMkuu ndoa yetu ni ya kikatoliki,
Sexy tunaendelea fresh hajawahi kuninyima,
Ila ni ule ushirikiano wa kimaendelea ya familia ndo haonyeshi kabisa. Majukumu mengine kama mke anafanya fresh.
Ni ushirikiano hana kabisa na mimi, hata kunishauri kama mwanzo hakuna.