Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

Kumbe ulishapewa ovyo/angalizo na baba yakomjukuu no majuto.acha yakukute.
 
baba mzazi wa mtoto ni majanga huyo. hatoi ada ila never miss visiting day!!! heheheiyaaaaa
 
Jamaa kaona toto la kiarabu hili siliachi liwalo na liwe lol hata kama hajaqualify kitaeleweka mbele kwa mbele..mtu ameolewa mwanzoni akaachika hujiulizi kwanini kwanza??mpaka uingie uuvae mkenge!!
hahahah!!! toto la kiharabu lilifanya kichwa kidogo kikazidi akili kichwa kikubwa...haya maswali hayakuwa na nafasi kwa kipindi kile lol
 
Mh kiungwana na kistaarabu achana NAE hafai kua mke kuoa mwanamke mwenye watoto sio tatizo ila inatakiwa makubaliano ya mume alooa na baba wa mtoto ingekua vizuri baba wa mtoto alikua akutafute wewe sio make kwenda kwa x haifai achana nae
 
Dah...Tunajifunza kwa hili... Ilibaki kidogo tu niingie mkenge...!

Hili somo tosha, ya nini kujibebesha mizigo ya wengine wakati kila mwaka kuna watoto wazuri wanamaliza vyuo vikuu...!

Ngoja nikaipige chini hii iliyoniganda mapema....!!!
 
Aiseee Unamlipia Mtoto Wa Mwenzio Ada Halafu Baba Yake Na Mkeo Wanaenda Kumuona Shule Daaaah! Ulifanywa Zuzu Mkuu

Yaani alizuzushwa kweli kweli. Ulikosea ila sasa hapo vijana wajifunze kufanya maamuzi ukiwa na akili timamu si ukiwa kwenye vilindi vya mahaba...
Kwa ushauri achana na mwarabu wako huyo anakuzuga kweupeeee jali watoto wako hao wadogo.
Pole sana Mungu atakusaidia mpendwa.
 
Umeona eeh! Ndio maana siku walipofumaniwa kule shuleni akasepa haraka sana ili asimstue mlipa ada akaghairi kuendelea kulipia ada kama kumzuga vile kwamba yeye hayuko tena kwenye picha, kumbe kwa pembeni wanaendelea na penzi lao. Sasa ada imebuma Mrembo kazua tafrani ndani ya nyumba anataka mumewe aendelee kumlipia mtoto asiyemhusu wakati Baba yake yuko mjini.

baba mzazi wa mtoto ni majanga huyo. hatoi ada ila never miss visiting day!!! heheheiyaaaaa
 
Uamuzi uliofanya sasa ni mzuri na sahihi japokuwa ulikuwa umechelewa,kwa sababu kipindi kile kile ulichogundua kuwa ana mtoto hata kama harusi ni masaa mawili mbele ungevunja mahusiano hayo kuliko sasa...

kama aliweza kukuficha hilo hadi wakat umenogewa amekuficha mangapi na wakat ambao wanaenda mtembelea mtt wao shule halafu huna taarifa unajua wameshakuchakachua mara ngapi??

shukuru hujapata magonjwa ila chapa lapa hapo...thats why huwa sishaur mtu kuoa mwanamke aliyezaa haswa kama huyo jamaa aliyemzalisha yupo dunian,nikujipa maumivu na mateso yanayoweza kukwepwa...
 
Kwani mmeshafunga ndoa? kama bdo piga chini wekeza hela zako zote kwa watoto wapate elimu ya maana kwanza! huyo jirani yako akieleweka kuhusu matunzo ya watoto na kuwahudumia vizuri weka mchumba huyo ndani! ili kumbuka elimu kwa watoto kwanza
 
Mimi mwaka jana kidogo niingie mkenge huo huo, mzee wangu hataki mimi nitafute mke, eti wale wote ninaowatafuta mm hawaamini, sasa akamtafuta mwalimu mmoja wa primary akaniunganisha naye, nikaona haina tabu, nikaongea naye kwa simu, akasema niende kwao tukutane kwao na siku hyo hyo nijitambulishe na nitoe posa!!

( Ni*doubt sana) nikamwambia mzee yy akasema haina shida niende, binti ni mnyantuzu, kazuri sana yan afu kamepanda hewani, kufika kwao, tukala, tukajitambulisha na kutoa posa, tukaaga kuwa tukalale na mwenzangu niliyeenda naye, wazo likaniijia kuwa nifanye uchunguzi juu ya huyo binti na familia yao, wewe!!

ndo nikaambiwa kuwa huyo binti ana mtoto mmoja wa kiume!!! hadi leo sikuwahi kurudi huko, ila mzee alisema kuwa nimuoe tu huyo haina shida, nilikataa kata kata, sioni binti mwenye mtoto hata siku moja...


mkuu pole sana...
 
Duh watu mna mioyo, juia kbs mtu mwenye kid? Never ever, komaa tu ndoa ya kikristo hiyo

Mkuu ni huyo mwanamke tu hana msimamo...mimi nina mtoto na binti ambaye hatukuoana! Sasa hivi mie nimeoa na yeye ana ndoa yake nzuri tu kwa miaka kadhaa! Hatukuwahi kugombana na hadi sasa ni sawa na dada yangu!! Hata ikitokea tukionana hatujawahi kuleta hisia za maloveee! Namheshimu na yeye ananiheshimu kama kaka yake!! Mtoto ninaye mimi na hajawahi kuwa kikwazo kwa familia zetu...
 
Hivi kweli hata ingekuwaje weye hukuona kwamba mwenye mtoto lazima arudi kucheki shamba lake?? Ulipomchukua mtoto na kuleta nyumbani nadhani ulikuwa umenogewa na sauti ya ubembelezi wa kiarabu, pole sana.
Sasa, huyo mama ni kukufilisi tu alio nalo moyoni. Huenda hata huyo wa kwanza hulishwa na weye. Hana shida yeyote weshakuona limbukeni wa penzi umekwisha kwa mwarabu. Hivyo wanakula na kipofu ila sasa baasi.
Fukuza, weka kando, chukua watoto wako kama akikupa ila yeye mwambiye wazi tu, umeshamshiba huna ham naye. Chukua huo mzigo mwingine weka ndani officialy ajue umeamua naye aende na mwarabu mwenzake.
 
Kwani mmeshafunga ndoa? kama bdo piga chini wekeza hela zako zote kwa watoto wapate elimu ya maana kwanza! huyo jirani yako akieleweka kuhusu matunzo ya watoto na kuwahudumia vizuri weka mchumba huyo ndani! ili kumbuka elimu kwa watoto kwanza



kwani ndoa ni nini? we piga chini.....yani ufe na Tai shingoni kisa NDOA??? Khaaaaaaaaaaaaaaaa!! labda siyo mimi.....
 
Back
Top Bottom