GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,157
- 110,635
Kwangu mimi Taifa Stars isiyo na Wachezaji wangu ninaowakubali akina Kapombe, Tshabalala, Feitoto, Kipa Kinda Ali Salim na yenye Wachezaji wabovu akina Mkude, Boko (Mfalme wa Miba Tanzania ) Mzize na Himid Mao Mkami ni batili.
Hongereni Taifa Stars kwa kufuzu tena AFCON, ila binafsi kama GENTAMYCINE sijafurahi kufuzu kwenu ila sina jinsi.
Hongereni Taifa Stars kwa kufuzu tena AFCON, ila binafsi kama GENTAMYCINE sijafurahi kufuzu kwenu ila sina jinsi.