Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 57,549
- 96,437
Solution ni kuwazuia wasicheze tupate sare.Tena mbali hasa au ndo ya Mungu mengi?
Kuna formula kocha anayejielewa hushambulii lakini hufungwi ng'o.
Nadhani hao kina Mkude wameitwa kwa kazi hiyo, hii mechi haitakiwi kutafuta ushindi Bali kukaza hakuna kufunguwa itatulipa.