Najivunia kuzaliwa wa kike

Najivunia kuzaliwa wa kike

Teh teh teh, alafu unamuhonga peterchoka! Kweli hela ya mwanaume kazi yake ni kuitoa tu.

Ndio ukihongwa unaenda unamhonga serenget boy ndioo ilivyo.
Lazma tuwakomeshe hawa wanaume maana wakikupata kwenye kona yao wanakuminya haswa
 
Last edited by a moderator:
Never will my daughter decide to get married as a way for a better life, so help me God . It should be like a cherry on a cake, something to complete her happiness but never determine her ssuccess inshaAllah
 
Never will my daughter decide to get married as a way for a better life, so help me God . It should be like a cherry on a cake, something to complete her happiness but never determine her ssuccess inshaAllah
Isikusumbue kwa lolote hii topic,kwasababu hata chizi jalalani anakuonea huruma mtu uliye mzima wa akili,yeye kula jalalani anaona kama anafaiiidi,of course katika dunia hii hata ukiweka mkate na kinyesi,wapo watakao chagua kinyesi kama chaguo lao.
 
We mwanamke wewe unataka kunivunjia ndoa jamani muache mume wangu ahiji kwa raha zake, maana ndoa yako na Viol iko icu mtoto wa watu full stress sahivi, anajutaje hana tu jinsi maana ashajuja, ila we noma sikuwezi hata robo
Utasubiri sana halafu ndoa yako ndo uianglie vizuri nashangaa unafuatilia sana yetu
Viol nampa kila kitu anachotaka hahahaaa anachagua tuh mwenyew nimpe kwa stail gani. Alafu pia hela zake tamu na ndo tare za mshahara nangoja tuu apokee anigawie pasu kwa pasu
Sasa kwanini nisikuhonge wakati unanipa kila kitu nachotaka,Halafu ulivyo mtamu ndo balaa!
 
Last edited by a moderator:
Kutokana na uzi na comments zako, wee ni "digital dada poa", ndoa na maisha ya furaha ya ndoa kama unavyoyaota UTAYASIKIA ktk bomba!

Hahahaaaa jf ni for fun unaweza ukakuta sipo ivyo. But kivyovyote mkuu ni sawa
 
Utasubiri sana halafu ndoa yako ndo uianglie vizuri nashangaa unafuatilia sana yetu

Sasa kwanini nisikuhonge wakati unanipa kila kitu nachotaka,Halafu ulivyo mtamu ndo balaa!

Apo sawa nakupa stail zote kwa nini usinihonge.
Lol ila pesa zako tamuu
 
Never will my daughter decide to get married as a way for a better life, so help me God . It should be like a cherry on a cake, something to complete her happiness but never determine her ssuccess inshaAllah

Vpi naye anawaza hivyo hivyo?? Hebu usimtese mtoto huko kumtwisha majukumu yasiyo yake.
 
Utasubiri sana halafu ndoa yako ndo uianglie vizuri nashangaa unafuatilia sana yetu

Hahahaaaaa!! Yaani cute be sijui kwanini nimesoma hii comment nikajisikia tu kucheka mpaka nikapaliwa maji!!
Hahahaaaaaa! Ngoja kwanza nimalize kucheka
 
Last edited by a moderator:
Apo sawa nakupa stail zote kwa nini usinihonge.
Lol ila pesa zako tamuu

Hebu kuwa specific pesa zipi unazoongelea? Maana mie nimechoka kukufanyia maombi kama hutaki kudeal na tatizo.
 
Hahahaaaaa!! Yaani cute be sijui kwanini nimesoma hii comment nikajisikia tu kucheka mpaka nikapaliwa maji!!
Hahahaaaaaa! Ngoja kwanza nimalize kucheka

,.................
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa mimi situkanagi mkuu.
Kwani vipi ulikuwa umekusudia mimi kukutukana?

Baada ya kupitia posts zako na nilivyoku-quote wengi huwa wanakuja ktk defensive mode ya matusi!!
Big up, uko poa! Kama ulivyosema yawezekana mtu akawa hayupo hivyo, natumai nawe hauko hivyo!
Cheerz!!
 
Unaoneka umekunywa viroba kama spika makinda..kwa taarifa yako sensus iliyofanywa mara ya mwisho Tanzania inaonyesha wanawake ni wengi kuliko wanaume

Very true.... Hii si Tanzania tu most of the countries wanawake ndio wengi kuliko wanaume..
 
Back
Top Bottom