- Thread starter
- #161
Huko ni kujifariji tu ila cha moto mnakiona, na kati ya watu wanaoongoza kwa vidonda vya tumbo na prusure ni wanaume, mnakufa mnooo ndio maana wachache.
Hahahhahaaaa.
Kuna mwanaume aliwahi kunitoa luch nikaagiza mikuku na mipombe migumu ya pesa ndefu lol ghafla mtu anatokwa na mishipa ya kichwa machoo mekunduuu maninaaa nikasem kimoyo moyo alizqni ningeagizq kiepe yai na soda eeeee... tulivyotoka hapo ndukii aliyotoka daaah