Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,503
- 176,618
Ka unapokea hela we ni malaya tu, hamna namna nyingine na kuremba.
Aiii ndio unasema hivyo ili tusipokeee, hujui tusipopokea jasho lenu tutakuwa tunatenda dhambi!! Kwahiyo acha tu tupokee na nyie endeleeni kutupa tu maana hamna namna.