Najivunia kuzaliwa wa kike

Najivunia kuzaliwa wa kike

Hahahaaaa uwiiiii Manga ML ukujege uone vituko vya baby wako jamani huko maca hurudigi tuu?

We mwanamke wewe unataka kunivunjia ndoa jamani muache mume wangu ahiji kwa raha zake, maana ndoa yako na Viol iko icu mtoto wa watu full stress sahivi, anajutaje hana tu jinsi maana ashajuja, ila we noma sikuwezi hata robo
 
Last edited by a moderator:
We mwanamke wewe unataka kunivunjia ndoa jamani muache mume wangu ahiji kwa raha zake, maana ndoa yako na Viol iko icu mtoto wa watu full stress sahivi, anajutaje hana tu jinsi maana ashajuja, ila we noma sikuwezi hata robo
Viol nampa kila kitu anachotaka hahahaaa anachagua tuh mwenyew nimpe kwa stail gani. Alafu pia hela zake tamu na ndo tare za mshahara nangoja tuu apokee anigawie pasu kwa pasu
 
Last edited by a moderator:
Viol nampa kila kitu anachotaka hahahaaa anachagua tuh mwenyew nimpe kwa stail gani. Alafu pia hela zake tamu na ndo tare za mshahara nangoja tuu apokee anigawie pasu kwa pasu

Unamdanganya nani? We si ulisema free p yule au umesahau??? Mpaka ukaniomba nifanye maombi maana una mkosi nao!!
 
Last edited by a moderator:
Sie tunaweza kuwa watamu ila sidhani km tunafikia utamu wa pesa zenu.


Wanasema utamu wa pipi n mate yako mwemyewe. Sawa na hili, wewe unaona pesa yangu tamu, inawezekana upo sahihii, na mimi nakuona wewe mtamu, kwa sababu kwa hizo pesa zangu utanifanyia chochote, popote, na kwa muda wowote bila longo longo.
 
Wanasema utamu wa pipi n mate yako mwemyewe. Sawa na hili, wewe unaona pesa yangu tamu, inawezekana upo sahihii, na mimi nakuona wewe mtamu, kwa sababu kwa hizo pesa zangu utanifanyia chochote, popote, na kwa muda wowote bila longo longo.

Longolongo itoke wapi wakati napewa nitakacho bila longolongo pia.
 
vevenononombo hamna hela inayorudii cha zaidi tukubaliane tuu tuendelee na mahusiano
 
Last edited by a moderator:
Unamdanganya nani? We si ulisema free p yule au umesahau??? Mpaka ukaniomba nifanye maombi maana una mkosi nao!!

Ananilipaga mwisho wa mwezi hahahaaaa
 
Alafu mkuu una jina lefu kama treni za japan bhan yaa umenipa kazi sana kuliandika

Unawezafupisha na kuniita veve,au nonono au nombo majina.ya kibantu hayo nyie si wakiinglish sijui ze kyuti
 
Back
Top Bottom