Najivunia kuzaliwa wa kike

Najivunia kuzaliwa wa kike

Wanataka mkuu...hahahaa wanazuga tuu vijiweni ila wanawaoa tuu

Mwanamke pole,mimba wewe,kugegedwa wewe,kupigwa mingumi wewe,kulea watoto wewe,kuvumilia mipombe yetu wewe,kwenda mwezini wewe duh,kibuti wewe! Duh! Polen sana aisee
 
Mwanamke pole,mimba wewe,kugegedwa wewe,kupigwa mingumi wewe,kulea watoto wewe,kuvumilia mipombe yetu wewe,kwenda mwezini wewe duh,kibuti wewe! Duh! Polen sana aisee

Ebu ona mateso yote hayo alafu tuonee pesa zenu huruma? Hakunagaa
 
Hahahaaa mkuu maboya ndo wanaochakaaa. Mimi haitakaa itokee nakwambia.
Nachuna kama sina akili nzuri yaan adi mwanaume anaishiwa anarudi kunikopa hela ya kula lol mnatia huruma jaman

Wewe unaonekana ndio wale wa mahaba nikojolee na mahaba nitemee makoozi maana waongeaji wengi huwa wanafanya kinyume cha wayaongeayo
 
Usipotoshe wenzio, wewe utakuwa wa kishua na mtazamo wako wa kishua shua!! Waulize madada poa na wahudumu wa mabaa, wadada wasaidizi wa kazi majumbani na wengineo kama wanainjoi kufeli mtihani!
Hapa ni kama unataka wenzako wajiweke ktk dependant mode na utayari wa kuwa vikaragosi!!

Hao walichoharibu ni kukimbilia kuwa ma baa medi.
Hawajui ukishaona umefeli ni nini kifuate.
Hahahaaaaa ata biblia imeandika sisi tutazaa kwa uchungu ila nyie mtatafuta kwa jasho so mwanamke kufanya kazi ni kuamua tuu .
Sisi tunawategemea ninyi na ukiona tunafanya kazi ni tunatafuta za nyongeza tuu
 
Hahahaaa mkuu kazi ngumu zinazeesha.
Mimi nikifel tu nakimbilia kuolewaaa.

Unakimbilia kuolewa??
Karata ya wewe kuolewa haunayo wewe, wewe hauna maamuzi ya kusema sasa nikaolewe!!
 
....so stop demanding equality ....

Yaah mimi najuaga hamnaga cha haki sawa mkuu unazani nakubali hiyo kitu? Maana nihongwe tuu siwezi kuhonga haki sawa naikubalije?
 
Fresh tuu anaye honga yoyote ni kwa sababu kazidiwa ujanja lol.
Ila yenu ni hatareee mimi apa nasimamisha mjengo bado tuu kupaka rangi na anaye nihonga anaishi cotaz chezeiyaaaaaa

Ila jamaa sikaweka matobotobo?
 
Wewe unaonekana ndio wale wa mahaba nikojolee na mahaba nitemee makoozi maana waongeaji wengi huwa wanafanya kinyume cha wayaongeayo

Uwiiiii sio kwa cute b....
Mimi mtu asipo anza kwa kuni hong ata sikubali kudate nae sitaki tabu
 
Last edited by a moderator:
Unakimbilia kuolewa??
Karata ya wewe kuolewa haunayo wewe, wewe hauna maamuzi ya kusema sasa nikaolewe!!

Mkuu wapo watu wana uchu wa kuoa kila siku anakulazimisha aje kwenu kukulipia mahari ndoa ifungwe mwez ujao lakini nabana tuu ila kama nasoma likatokea la kutokea maisha yakaniendea kombo kwa nini nisikubali?
 
Hahahaaa mkuu kazi ngumu zinazeesha.
Mimi nikifel tu nakimbilia kuolewaaa.
Sawa. Ila huyo anayekuoa kafanikiwa kwa kufanya kazi ngumu kwelikweli!
Na je, utakaa tu kumsubiri akuletee?
 
wanaume .. wanatumwagia wanasepa kitu kinaota tumboni tu kinakutesa balaa halafu unazaa kwa uchungu unachanwa halafu ukija kitaa wanatuita makopo ... wapigwe jua nasema tena jua liwachome na hela zao tutazila tu bila huruma

Aah machozi yananilenga lenga yaani hamna huruma kiasi hicho? Yaani tunabeba zege mpaka ghorofa ya 9 afu malipo kiduchu bado tukija kwenu kutaka faraja ya dk 10 na nusu bado mnaona haitoshi mkuu eti lituchome lituchome
 
Aah machozi yananilenga lenga yaani hamna huruma kiasi hicho? Yaani tunabeba zege mpaka ghorofa ya 9 afu malipo kiduchu bado tukija kwenu kutaka faraja ya dk 10 na nusu bado mnaona haitoshi mkuu eti lituchome lituchome

Mwanawakeeeeeeeeeeeeee haaaaaaaaaaaaaaa polen sana
 
Back
Top Bottom