- Thread starter
- #141
Unafikiri kuna waoaji siku hizi Cute b?
Wapo mkuu ata asipokuoa aishi na wew nyumbani kwake lakini atakujengea nyumba kila kitu utapewa yaan ila uwe unampa tuu p.
Unafikiri kuna waoaji siku hizi Cute b?
Ukweli unauma siku zote rafiki
Raha tupu
Hahahaaa shukuru Mungu umekuja ukakuta pashapoa.... yaani walinishambulia jaman lol nusu nikimbie
Sisi ndo raha sana.
kwanza hatuendi anga za mbali, hatubebi mimba, hatuzai kwa uchungu, hatupindwi style za ajabu ajabu, tunadunda tu, kufika kileleni ni maamuzi yetu tu, tunatongoza tunayemtaka, wewe ndo unafata jina langu, nauwezo wa kukubadili ukoo, ukifa utazikwa kwetu na sio kwenu, etc
Najivunia kua wa kiume
Hapo tu ndio mnapotumaliza. ningekuwa nimerekodi gharama zote nilizotumia kwa wanawake hadi sasa kwn ndoa ningefanya maamuzi magumu ya kujikata dushe
Sisi ndo raha sana.
kwanza hatuendi anga za mbali, hatubebi mimba, hatuzai kwa uchungu, hatupindwi style za ajabu ajabu, tunadunda tu, kufika kileleni ni maamuzi yetu tu, tunatongoza tunayemtaka, wewe ndo unafata jina langu, nauwezo wa kukubadili ukoo, ukifa utazikwa kwetu na sio kwenu, etc
Huko ni kujifariji tu ila cha moto mnakiona, na kati ya watu wanaoongoza kwa vidonda vya tumbo na prusure ni wanaume, mnakufa mnooo ndio maana wachache.
Unaoneka umekunywa viroba kama spika makinda..kwa taarifa yako sensus iliyofanywa mara ya mwisho Tanzania inaonyesha wanawake ni wengi kuliko wanaume
sasa mbona mara nyingi huwa mnalalamika sana kuwa mko kwn disadvantage? muwe mnjiamini ili tuwasifie siyo kulalamika tu. sisi wanaume tunahangaika kuwahonga, kuwalipia hoteli, kuwanunulia vitz kama nansi, nk alafu kwenye 6×6 nyie mnaenjoy kwa >80%! I wonder if God is a woman kama alivyosema Shaggy kwn wimbo wa STRENGTH OF A WOMAN
wanaume .. wanatumwagia wanasepa kitu kinaota tumboni tu kinakutesa balaa halafu unazaa kwa uchungu unachanwa halafu ukija kitaa wanatuita makopo ... wapigwe jua nasema tena jua liwachome na hela zao tutazila tu bila huruma
Unaoneka umekunywa viroba kama spika makinda..kwa taarifa yako sensus iliyofanywa mara ya mwisho Tanzania inaonyesha wanawake ni wengi kuliko wanaume
Wengi wenu mnadhani huwa tunawapenda sana lkn ktk tafiti nyingi zinaonyesha men love once,zingine ni kupiga tu,namnapigwa kweli kweli maana hakuna namna mtaacha kupigwa
Pia ujue kuna wanaume wengi tu hapa mjini wanajengewa majumba na ku - drive ndinga kali kali wanazopewa na wanawake wenzio!
Duh ila kuzaa sio kazi nyepesi nayo maana ukishazaa tena huwi sawa tena na wa awali