Najisaidia kinyesi kingi cha kijani

Najisaidia kinyesi kingi cha kijani

wakuu je huu niugonjwa au....nashindwa kuelewa
ni ya kijani kabisa
Pole sana mkuu

Inategemea unapiga furushi la msosi kiasi gani, aina ya chakula pamoja na other habits

Unafikisha kilo ngapi? 😂😂

Jokes aside… nenda hospitai mstahiki
 
Back
Top Bottom