Omseza Mkulu
Member
- Jun 17, 2009
- 54
- 7
Ndg yetu si uende hospitali ukapimwe maana hayo ......ya kijani hatuwezi kuelewa bila vipimo.pole sana
wakuu je huu niugonjwa au....nashindwa kuelewa
ni ya kijani kabisa
Mkuu endelea tu kunya,ondoa hofu,rangi zipo nyingi tu ipo siku utakunya hadi meupe.
Kuna mwenzako huyu wa Peramiho, yeye anasema
https://www.jamiiforums.com/jf-doct...kupita-kiasi-inanitia-hofu-8.html#post9516488
nahisi kama matatizo yenu yanaendana.
Lakini pia kuhusu tatizo hili, Gogle hayupo mbali, yeye anasemaaaa
https://www.jamiiforums.com/jf-doct...zi-ya-hatari-naomba-msaada-5.html#post8814268
Kazi ni kwako.
insane he mume wangu, niliona haya. Maana uliniambia mke mdogo unayetaka kumuoa Ana hili tatizo, looooolMbona mimi hukuniita?
Huo sio Ugonjwa ila inakupa prove kuwa we asili yako ni Nyani
wakuu je huu niugonjwa au....nashindwa kuelewa
ni ya kijani kabisa
wakuu je huu niugonjwa au....nashindwa kuelewa
ni ya kijani kabisa