Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
Mengi ya kijani, ndicho nilichokariri. Angekuwa mnyamwezi ningemwambia apumzike kula ugali na nswalu (mlenda wa unga na uliopikwa na karanga)
Last edited by a moderator:
Weka picha
nilitaka kushangaa mpaka mda huu hamjatokea tu!team weka picha.Weka picha
acha kula majani kama mbuzi
Unamaanisha kijani kama hii hapa chini??
![]()
Unakula nini?
inawezekana unaugonjwa wa ini wahi hosptal
Tumia lugha nyepesi kidogo. Utaeleweka tu. Kwani ukiandika "haja kubwa" kuna ubaya gani?
We lazima uakuwa mshabiki wa Yanga.