- Thread starter
- #121
Point ilikuwa kuonyesha naishi maisha ya kawaida sana,siyakujionyesha walaVipi ulijibiwa hili swali?
Point ilikuwa kuonyesha naishi maisha ya kawaida sana,siyakujionyesha walaVipi ulijibiwa hili swali?
Najua ni roho mufilisi kupitia wanaume ndiosababu nimeamua kutodate tena.Basi kuna udhaifu pa hala wanaoutumia kuwa tegemezi kwako financially, hawezekani wote hao wawe wanakupiga tu mizinga mpaka mwingine kuchukulia hela pasipo ridhaa yako isitoshe umesema na wao wanafanya kazi, una tatizo pahala sio bure dadaangu, kama hii story ni kweli basi jitafakari upya kabla ya relationship inayofuta
Ndio wapo wanaune wa hivyo na anajiona yuko sahihi kabisaUmenikumbusha, kuna kaka niliwah kuwa nae wakat nipo shule mwanaume anaomba hela kama hana akili nzuri vile nikaona isiwe tabu yaan mwanaume akiomba omba hela na upendo unaisha hapo hapo
Wanakera sana ivi mwanaume anaombaje hela lakinNdio wapo wanaune wa hivyo na anajiona yuko sahihi kabisa
Miez saba imepita na sina mpango tena,najua litakuja lingine lenye tabia hizo hizoMpenzi wa mwisho umeachana naye lini?
Tena wasomi wazuri tu,sijawah date ambaye hana kazi
Kuna huyo alikuwa anafosi nimtumie hela kwenye mpesa akisingizia ana matatizo kumbe anaenda kustarehe,halafu tukikutana akawa ananitusi kuwa ninajidai nina hela,najipa majukumu yasiyo yangu wakati alikuwa ananifosi nimtumie hizo hela,sikuwah mpa hela yangu kwa hiari
Point ilikuwa kuonyesha naishi maisha ya kawaida sana,siyakujionyesha wala
Umenikumbusha, kuna kaka niliwah kuwa nae wakat nipo shule mwanaume anaomba hela kama hana akili nzuri vile nikaona isiwe tabu yaan mwanaume akiomba omba hela na upendo unaisha hapo hapo
Duuh bhasi Kosa lako ni Moja...Sina sura mbaya,figure ninayo nzuri tu,tako pia lipo
Isitoshe kwanini wanitongoze tena kwa kufosi,hata mtu ukimkataa analazimisha kunidate huoni ni roho ya kuja olewa na hohehahe tuishie sumbuana tu
Acha uongoTatizo unalo mwenyewe kikawaida mume awe na miaka 27 sawa nawe au akuzidi 3 hilo ndio tatizo mwanaume akiwa na hiyo miaka hawezi chukuwa mke wamiaka 27 labda afuate kukupiga hela.kwamiaka yako unatakiwa upate mume kuanzia 35 ila kumbuka wanaume wa kuanzia 35 tayari wanafamilia kwahiyo kama unataka kweri mume mwenye akili timamu kwaumli wako jiandae kuwa mke 2 au mchepuko huwo ndio ukweli
Unatuharibia waomba helaTake care huko pm
[emoji42]
Tumelingana umri,mmoja alinizid miaka mitatu
Ni wafanyakazi kama mie
Kinachonishangaza wakati mwingine ni pale ambapo mwanamke unaweza kuwa unampa hela vizuri tu.
Siku ukikwama ukamwambia akutoe hela tayari hiyo ni kesi.
Acha uongo