Najihisi kuchanganyikiwa....

Najihisi kuchanganyikiwa....

Kusema kweli inaniuma sana kwasababu he is so educated and matured hata siamini kama anaweza kufanya such a childish thing!Sielewi ananufaika na nn mimi nikiteseka kusema kweli ningemuelewa angesema hataki kuwa na mimi kuliko anavyofanya!Its not fair wallahi!Nakaa najiuliza why?sipati jibu nimemuomba hata msamaha japo sijui kosa langu!

Unajinung'unisha nini sasa ndugu yangu ilhali picha kamili umeshaiona?

Nothing is interesting if you are not interested. (catch it in his voice)
 
maumiv ya kichwa huanza poole poooole
 
Hivi una miaka mingapi.?? Unazijua social network vizuri.?? Umekuja mjini lini..hivi unaanzaje kuchanganyikiwa kwa mtu anayetumia id ya uongo..tena mtandaoni.?? Ni mzima kweli weww heell no....unataka mume mtandaoni.?? Wife/husband materials hawapatikani mtandaoni tena kwa style hii ya jf...me nampongeza huyo kaka ana akili sana utafall vipi kwa mtu usiyemjua personality yake...only chating inatosha kufall in love tena kiasi cha kuchanganyikiwa.?? Nyie ndio mnaodate na majini mpk mnapelekwa guest kunyongwa...r u out ur mind..??? I guess u r not up stairs
 
Hapo kuna mengi yamejificha yawezekana hata sio mjane wala nini labda aligombana na mtu wake akaona apate wa kuzugia,
2. Kapata mpenzii mwingine
3. Au hamu yake ilikuwa akugegede tu basi labda kaona mwelekeo huna.
 
Ushauri grow up yawezekana ni kubwa kwangu so dada yangu usiwe disparate kiasi hicho, acha kujirahisisha kwa mtu asiye na maana, mapenzi yapo usilazimishe utapata tu hitaji la moyo wako. Na usipende kuwa entertain watu wajinga kwenye maisha yako, broke his contacts zote. Raha ya mapenzi kupendana sasa hapo raha ipo wapi?? Wewe walk away kabisa tena mtu wa social network. Una mambo mengi ya umuhimu ambayo ungeweza kufanya zaidi ya hili. Wewe ni wa thamani sana so value urself
 
Ushauri grow up yawezekana ni kubwa kwangu so dada yangu usiwe disparate kiasi hicho, acha kujirahisisha kwa mtu asiye na maana, mapenzi yapo usilazimishe utapata tu hitaji la moyo wako. Na usipende kuwa entertain watu wajinga kwenye maisha yako, broke his contacts zote. Raha ya mapenzi kupendana sasa hapo raha ipo wapi?? Wewe walk away kabisa tena mtu wa social network. Una mambo mengi ya umuhimu ambayo ungeweza kufanya zaidi ya hili. Wewe ni wa thamani sana so value urself
Thanks for your wonderful advice its very encouraging!
 
Hivi una miaka mingapi.?? Unazijua social network vizuri.?? Umekuja mjini lini..hivi unaanzaje kuchanganyikiwa kwa mtu anayetumia id ya uongo..tena mtandaoni.?? Ni mzima kweli weww heell no....unataka mume mtandaoni.?? Wife/husband materials hawapatikani mtandaoni tena kwa style hii ya jf...me nampongeza huyo kaka ana akili sana utafall vipi kwa mtu usiyemjua personality yake...only chating inatosha kufall in love tena kiasi cha kuchanganyikiwa.?? Nyie ndio mnaodate na majini mpk mnapelekwa guest kunyongwa...r u out ur mind..??? I guess u r not up stairs
Mimi sio mgeni wa social network na mapenzi yanapatikana popote mind what you are saying! Sikutafuta mume hapa na wala sitotafuta,alikuwa rafiki yangu zikajengeka hisia kati yetu kwahio it was just a coinsidence,too bad it didn't work out as planned...Na tafadhali tuheshimiane!
 
Mh! Watu wengine mnamioyo lol! Yani mimi akiuchuna siku 1 tu na mimi nauchuna kimya..... Nilishaumizwa nilishaliaaaaaaa! Sasa sitaki tena mtu kuchezea moyo wangu
 
we mwenywe na hilo pozi lako usilotaka kuniangalia unanichanganya !
ahahhahahha
upo best?

dah kuna watu hatunaga bahati jamani....
Acha tu niangaliege huku huku!

Nipo beste. Narukaruka tu hadi tunapishana.
Eid yangu umemaliza?
 
dah kuna watu hatunaga bahati jamani....
Acha tu niangaliege huku huku!

Nipo beste. Narukaruka tu hadi tunapishana.
Eid yangu umemaliza?
ahahahhahahhah hata na hii ilikukosa!
kweli watu hamna bahati!
kukutana kwetu shurti kwa mwendo wa round about!ehehhehe pole sana asee
eid uikute leo!?
 
Back
Top Bottom