Najihisi kuchanganyikiwa....

Najihisi kuchanganyikiwa....

ss huy ndo anafanya wale wanaotangaza hum wanatafuta wenza wasiaminike kabisa
 
BAK hapo kwenye ID ndio utata
 
Last edited by a moderator:
Kuna wakati hautakiwi kuwa serious sana na maisha....
Yatakuboa!
Pole sana, kuna vitu kwenye maisha haufundishwi una experience kupitia maumivu mengi na misukosuko ya kutosha.
So kitu pekee dunia itakachokuambia kwenye mda kama huo ni "POLE, VUMILIA, ENDELEA NA SAFARI, HAYO NDIO MAISHA"

Hili nalo neno!....
 
Nimetokea kumpenda sanaaaa kaka mmoja hapa jamiiforums!

Kusema kweli tulikuwa marafiki mwanzo ila yeye akasema ametokea kuvutiwa na maongezi yetu na ananipenda and blah blah blah..nikawa nasita sana kwasababu najua niko mbali nae na mambo ya long distance ni matatizo (kama walivyosema wahenga fimbo ya mbali haiuwi nyoka) lakini kwasababu alisisitiza sana anahitaji kuwa na mm nikaona kwanini nisijaribu kumpa nafasi japo nilishaumziwa sana mwanzo..

Huyo mtu kwa maelezo yake ni mgane na ana watoto wawili...Mwanzoni kila kitu kilikuwa shwari maongezi saa zote..tukaplan mpaka kuonana..kusema kweli nilikuwa na matumaini sana na furaha nimeshapata mwenza...

Ikatokea ishu kwamba alikuwa na matatizo ya network ya sim kitu ambacho kinaeleweka mawasiliano yakaanza kuyumba ila net alikuwa nayo lakini hakuona kama njia ya mawasiliano...Sasa kinachoendelea ni kwamba tangia tarehe 4 mwezi huu kapotea...namuona watsapp na naona anapata ujumbe wangu lakini hanijibu..na pia nilimuona facebook minamo tar 6...lakini mimi mawasiliano nae sina kwasababu hapokei simu zangu,hajibu sms zangu na sijui pakumpata..na ameniblock watsapp leo hii coz nimeshafanya uchunguzi na nimegundua kwamba ameniblock! Nakaa nikijiuliza nimemkosea nini kustahiki kutendewa hivi sielewi!kama hawezi kuwa na mimi kwanini haniambii kwamba hanitaki?kama hana mawasiliano mbona namuona online?

Sikujua kama watu wengine wamenyimwa ustaarabu kiasi hiki! Sio siri nimempenda na kumuamini sana huyu mkaka lakini naona kaniachia donda kubwa sana moyoni mwangu maana hata sielewi nimuweke fungu gani najiona -------- nilopindukia kujirahisisha na kumuamini mtu nisomjua! Au sijui ni mimi ndio na overreact na kumfatilia sana?

Nisaidieni jamani nahisi kuchanganyikiwa si ndo wendawazim huu mungu wangu!

Yaaani umelalamika hadi nimejisikia kukuonea huruma hii sredi kweli inatoka moyoni!
Usijali huyo alikuwa anakudanganya, we tulia utampata mwingine.
Nitumie id kwa siri kama utapenda!
 
cheriefrance,
You were racing too fast. Hotter than a set of twin babies.
Usiwe unaingia kwenye dimbwi mzima mzima. Uwe una test the depth kwanza kabla hujaingia. Anyway, pole.
As much as I would like to agree with many that have contributed here, there is another angle of thought I would want you to delve into.
Give him some time and he might come up with logical explanation for his behaviour.
It may be you are over reacting.
 
Last edited by a moderator:
sasa unalalamika nini,mapenzi yanayoanzia kwenye mitandao ya kijamii yanaishiaga humu humu wala sio kwa balozi wa nyumba 10!!
 
cheriefrance,
You were racing too fast. Hotter than a set of twin babies.
Usiwe unaingia kwenye dimbwi mzima mzima. Uwe una test the depth kwanza kabla hujaingia. Anyway, pole.
As much as I would like to agree with many that have contributed here, there is another angle of thought I would want you to delve into.
Give him some time and he might come up with logical explanation for his behaviour.
It may be you are over reacting.
I have a lot of thoughts going through my mind right now..and i have considered the fact that i might be overreacting too but i dont want either to keep my hopes high because its a 50/50 chance!By the way i like your theory of testing the depth!
 
Last edited by a moderator:
Una matatizo gani, hata umng'ang'anie mwanaume asiyeonesha kujali. Halafu hivi ni kweli umekosa miongoni mwa wanaume unaofahamiana nao na wanakufahamu hata uwe na wa humu ambao you hardly know how they look like! Siamini juu ya mapenzi ya kwenye mitandao.
 
Mi nikupe pole tu ndugu yangu, na sijuh nikushauri nini? ila naomba niseme ushinde moyo wako . najua inauma sana na unaweza ukawa na maswali mengi yasiyo na majibu kwamba amekuonaje nk!! but ufike wakati na umshukuru mungu na usonge mbele hii ndio dunia . wanadamu waliowengi upenda kuumiza wenzao but the only thing ni wewe kua strong jichanganye toka outing na mungu atakufungulia riziki nyingine na usipoteze muda kumfikilia huyo mgane ujue mungu amekuhepushia kitu kikubwa . tusiwe viziwi wala vipofu kwa sauiti ya mungu. kwa ajili ya tamaa za miyo yetu.
 
Back
Top Bottom