Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Taarifa rasmi nilizozipata zinasema Klorokwin kaoa huko Igunga ushahidi huu hapa chini
hizo habari za tbc zimechakachuliwa.
Taarifa rasmi nilizozipata zinasema Klorokwin kaoa huko Igunga ushahidi huu hapa chini
kweli mkuu ulikuwa na ukakasi maana kupewa tu unaona ni vitu adimu unatangaza ndoa ... sasa ukipewa zaidi si utaacha kwenda hadi kazini hahahahahah
Aksanteni sana,Mr. Rocky,tHE finest,kadada,yeggella,ashadii,blackwoman na wote kwa ujumla wenu,ki ukweli mwenzenu nimepagawishwa!
mnakutana mtandaoni miezi miwili iliyopita, mnaonjeshana vitu vitamu na kisha mwezi mmoja baadae mtafunga ndoa. nafunga ndoa na vitamu,ama na mtu? mkifika kwenye shubiri mrudi basi,tuanzie hapo!
Hahahaaaa,ulijuaje BPM??? Ilinibidi nichukue ruhusa ya wiki nzima Kazini, ama kweli nimeamini ukubwa raha.
Ila mtangulize Mungu katika kila jambo unalokusudia kulifanya na kila uamkapo mshukuru Mungu kwa kila jambo na jambo la muhimu ni kujifunza uvumilivu maana maisha unayotarajia kuyaingia ni mazito sana
hata kama ila upendo haupimwi kama oil ya gari hahahahahahahaha ningestaajabu sana
Salaam,
wana JF, miezi kama miwili hivi nilipost MMU tatizo la kukimbiwa na wapenzi kipindi cha kutambuana (dating) ilhali nikiwa sijaonja au kuonjeshwa penzi; baada ya kujipambanua kuwa sijawahi ku-du,nilimpata mwana JF mwenzangu ambae tumeonjeshana vitu vitamu na sasa tuko bize na mipango ya ndoa, Harusi itakuwa tarehe 08/10/2011;
Nawashukuru wooooote na naomba niwaalike kwa namna ya pekee katika hafla hiyo, Mungu awabariki sana!
nitakupm tar ya ndoa. Huyu finest na swtlady wataleta nuksi.
Regards, ningefurahi wana JF has MMU wote mngekaribia..........
Hongera sana, harusi itafanyikia wapi? Tuje kushudia.
Mungu wangu asije akawa Preta!!!!!!!
Hongera sana pia, ni P.M namba ya M-pesa nikutumie mchango.
Salaam,
wana JF, miezi kama miwili hivi nilipost MMU tatizo la kukimbiwa na wapenzi kipindi cha kutambuana (dating) ilhali nikiwa sijaonja au kuonjeshwa penzi; baada ya kujipambanua kuwa sijawahi ku-du,nilimpata mwana JF mwenzangu ambae tumeonjeshana vitu vitamu na sasa tuko bize na mipango ya ndoa, Harusi itakuwa tarehe 08/10/2011;
Nawashukuru wooooote na naomba niwaalike kwa namna ya pekee katika hafla hiyo, Mungu awabariki sana!