Apate pedesheee wapi? Jana Fidel80 kamtangaza kuwa nyumba ndogo yake eti ndo anamwita mume. Khaaa.Umepata Pedesheeee
Hahahaha!!! Rocky nimeona lolz
Mi mwenyewe nashukuru nimepata mume.
kwani jamaa akanasa mbuzi wa mtu akidhani swala? sema hadharani hatutaki uchakachuaji hapa JFSomeni PM zenu nimewajibu hizi posts... maana hapa tutachakachua (nina wasi wasi labda Cheusi Mangala ..lol)
Umepata Pedesheeee
hahahahahaha...memo, maneno hayo..atalia halafu mi sipo kukusaidiaUmepata mume mpya?
Umepata mume mpya?
Apate pedesheee wapi? Jana Fidel80 kamtangaza kuwa nyumba ndogo yake eti ndo anamwita mume. Khaaa.
Ayaaaaaa!!!!Apate pedesheee wapi? Jana Fidel80 kamtangaza kuwa nyumba ndogo yake eti ndo anamwita mume. Khaaa.
Nitakulipia nauli kutoka KahamaHongereni sana na asante kwa mualiko! Sasa harusi inafanyikia wapi vile?
Jaman! Loooh! Hivi klorokwini ni mchovu? The Finest fikisha huu ujumbe!akaa! Nimepata mchovu mwenzangu.
Nyumba ndogo zinaanzaga hivi, hivi. Source: Sredi ya Kaizer..Nitakulipia nauli kutoka Kahama
Nitakulipia nauli kutoka Kahama