Naishukuru MMU, imenipatia mke........

Naishukuru MMU, imenipatia mke........

kipipi....!
nasikitika kukwambia tu huu ndo ukweli..!ndoa ni "vita isiyoisha"...!

nasikitika zaidi kwamba ni "ukweli mchungu"
 
...and the worst thing ni kuwa wanawake wa kizazi hichi ndo hawa hawa wanaobandika thread kwamba "ili mradi isiwe arusha".....!kwamba anahitaji mtu wa kumtifua tifua wakati mumewe yupo kubeba boxi lakin asiwe wa arusha!....

kizazi hichi ni laana tupu!....lakin aingie tu.akiyajua matatizo itamsaidia sana kulipa "kodi" za mapato kupitia pombe
 
hongera sana mkuu.tamu isiishe utamu ndo maombi yangu kwenu!


Aksante Rubuye, huyu mtoto acha tu,sijui wanawake wote ni watamu dizaini hii, lakini yote kwa yote hili ni chaguo langu sahihi...............
 
Kufunga Ndoa baada ya miezi mitatu ya kuonana inaashiria mmoja wenu au wote wawili mna matatizo fulani fulani!
 
Aksante Rubuye, huyu mtoto acha tu,sijui wanawake wote ni watamu dizaini hii, lakini yote kwa yote hili ni chaguo langu sahihi...............

nashawishika kuamini kuwa wewe ni great thinker na kwa hiyo hauoi utamu,mkuu!sikua naamini/dhani kama inawezekana kuwowa kabisa hapa jhamaa!!hngera tena kwa nyongeza kaka na karibu kwenye hii sakramenti!
 
Back
Top Bottom