Mamushka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 1,595
- 100
Ah nlijua mmeshaoana . Mwe hongereni sana
Jamani singles na mtafutao tiweni mioyo.
Tiweni? Ok.
Ah nlijua mmeshaoana . Mwe hongereni sana
Jamani singles na mtafutao tiweni mioyo.
Hahaha! Hajapeperuka, ila uende kumpokea na wife.Sweetlady kanipeperushia ndege lol!!!
Hongera Sana Mkuu, Mungu azidi kukubariki na kukuongiza ili mfunge ndoa salama na hatimaye muwe na familia yenye amani na upendo
Salaam,
wana JF, miezi kama miwili hivi nilipost MMU tatizo la kukimbiwa na wapenzi kipindi cha kutambuana (dating) ilhali nikiwa sijaonja au kuonjeshwa penzi; baada ya kujipambanua kuwa sijawahi ku-du,nilimpata mwana JF mwenzangu ambae tumeonjeshana vitu vitamu na sasa tuko bize na mipango ya ndoa, Harusi itakuwa tarehe 08/10/2011;
Nawashukuru wooooote na naomba niwaalike kwa namna ya pekee katika hafla hiyo, Mungu awabariki sana!
Kweli mkuu, sikuwahi kufikiria hili, ni vita hasahongera sana...!
na karibu kwenye "vita isiyokwisha"...!hiyo pekee ndio maana halisi ya "ndoa"
Khaaa!nitakupm tar ya ndoa. Huyu finest na swtlady wataleta nuksi.