Naishukuru MMU, imenipatia mke........

Naishukuru MMU, imenipatia mke........

Miezi miwili iliyopita ?
Na sasa mko kwenye penzi tamu na mwezi ujao ndoa ... ndani ya miezi miwili tu oops sijawahi ona ..
Hongereni sana mungu awatangulie katika hili
kwani hujui chelewa chelewa utapata mwana si wako? na jinsi siku hizi kuna masimba mbarara, hata mimi nisingezubaa
 
Nashukuru sana,semina ya ndoa ilifanyika vema msimbazi center,jumamosi na jumapili,hivyo najiandaa tu kula vyangu tarehe 8.10.2011
 
Salaam,

wana JF, miezi kama miwili hivi nilipost MMU tatizo la kukimbiwa na wapenzi kipindi cha kutambuana (dating) ilhali nikiwa sijaonja au kuonjeshwa penzi; baada ya kujipambanua kuwa sijawahi ku-du,nilimpata mwana JF mwenzangu ambae tumeonjeshana vitu vitamu na sasa tuko bize na mipango ya ndoa, Harusi itakuwa tarehe 08/10/2011;

Nawashukuru wooooote na naomba niwaalike kwa namna ya pekee katika hafla hiyo, Mungu awabariki sana!

Msipoungama,Dhambi hiyo itawamaliza.
 
Ntakupataje mkuu,kesho nina matter adv.com. tuonane kama vipi uchukue kadi yako.........


Kweli mkuu uko juu
mara hii mambo hadharani
Na mmeshafanya maandalizi kila kitu
Aise usiache kutupa card bana
 
hAHAHAAAA,balaa naomba unielekeze zilizopo ofisi nije kufanya rgn......

Pongezi ziwafikie hapo mlipo muda huu mkila hivyo vitu vitamu mnavyopeana. Kila la heri unakaribishwa sana kwenye chama chetu cha walala uchi tanzania (chawauta)
 
uuuuummmph! jamani ndoa hii ni tamu ajabu, ndio kwanza fungate imekwisha na mama mambo mazuri, katumbo kamejaa......aksanteni sana tu tena wakuu wa JF
 
Thats great!kila la kheri kwenye maisha yajayo..
 
uuuuummmph! jamani ndoa hii ni tamu ajabu, ndio kwanza fungate imekwisha na mama mambo mazuri, katumbo kamejaa......aksanteni sana tu tena wakuu wa JF

Fungate miezi 7? duuuh mtajenga taifa kweli nyie. Kila la kheri
 
Raha iliyoje kuwa na mpendwa wako wa moyo,mama akijaliwa kujifungua nishtue nikurushie m pesa umnunulie mtoto zawadi.
 
Raha iliyoje kuwa na mpendwa wako wa moyo,mama akijaliwa kujifungua nishtue nikurushie m pesa umnunulie mtoto zawadi.

Nashukuru sasa tuna watoto wawili, wa kwanza wa kiume na wa pili wa kike...
 
Back
Top Bottom