Naipongeza serikali kwa kuanzisha kodi hii ya nyumba na sehemu za biashara kwa wamiliki

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
18,722
21,114
Nipende kuipongeza serekali yetu tukufu kwa kubuni kodi ya upangishaji hasa hasa ikiwalenga wenye majengo ya kimakazi au ya kibiashara hakika hapa kulikuwa na fedha nyingi mno zilizokuwa zinapotea na kulikosesha taifa letu mapato stahili na halali.

Ispokuwa ombi langu ni kwamba ingelipaswa kutangulia sensa ya nyumba hizi zikajulikana waziwazi, zikaingizwa kwenye database ya serekali yetu, ikafahamika nyumba fulani inavyumba vitano vya upangishaji na kila chumba hupangishwa kwa 50,000/- hivyo kwa mwezi nyumba hii huingiza 300,000/- hivyo kwa mwaka nyumba hii inaingiZa 3,600,000/-.

Hivyo serekali kuwa na fixed amount ambayo nyumba fulani iliyopo mtaa fulani, nambari fulani, kwa mwaka huu itapaswa kulipa kiasi kadhaa. Unless mwenye nyumba awe amekwenda kuripoti mabadiliko ya kimatumizi ya jengo husika.

Lengo la uzi huu ni kupongeza na kushauri jinsi gani serekali yetu tukufu ianze zoezi hili kwa kutanguliza uwepo wa DATABASE ya majengo yote ya kiupangaji na kibiashara.

Tumechelewa, tuanze sasa kwa manufaa ya taifa letu.

TAREHE 23 AUG NI SIKU YA SENSA KWA TAIFA LETU TUJITOKEZE KUHESABIWA.

========

Dar es Salaam. Tanzania Revenue Authority’s (TRA) plan to give tenants a mandate to withhold 10 percent of house rent in both private and commercial houses as a way of expanding the scope of tax payment has been greeted with mixed reaction among concerned groups.
According to TRA, the law required the house owners to be the ones to submit the house rent tax, something that has not been implemented properly and thus as one of the ways to facilitate collection of Sh23.65 trillion as tax by the end of the financial year 2022/23, it had to review the law and come up with a new strategy.

Speaking to journalists yesterday on TRA’s strategies to achieve the collection target as part of the government’s budget of Sh41.48 trillion, the authority’s Taxpayer Services and Education director, Mr Richard Kayombo, among other plans, explained the change that will see tenants submit tax instead of landlords.
“Any tenant, whether in a private house or a business house, is responsible for withholding 10 percent of rent and submitting it to TRA as government tax, unless there is another agreement where the landlords and landladies themselves will come to pay at TRA,” explained Mr Kayombo.
 
Hii Kodi ni mpya? Ni tofauti na Kodi ya ZUIO ambayo ni 10% ya gharama ya pango?
Hii kodi siyo mpya ipo toka zamani sana isipokuwa ina changamoto kubwa sana hasa juu ya ukusanyaji wake ndiyo maana nikapendekeza serekali itengenezwe kwanza Database ukizingatia nyumba zote kwa sasa almost 80-90%zina identity ya namba ya makazi kwa dar basi lipite zoezi la miezi sita likishirikisha wajumbe wa nyumba kumi.
 
member tangu 2012 lakini unatumia maccalio kufikiri
hapo mlengwa ni mlaji wa mwisho
mwenye jengo atapandisha kodi kumeintein 'chake'
Hakuna kodi yoyote duniani isiyo hits mtu wa mwisho. fahamu kwanza hili.
tafakari usitukane mara zote mhanga ni mtu wa mwisho kabisa, hata mafuta yalivyopanda muhanga ni mlaji wa huduma, nauli zimepanda vyakula vimepanda no matter manunuzi huko ughaibuni yamepanda.
 
Tunawajibu wa kuisaidia serekali katika kuvumbua vyanzo vipya mbabadala wa vilivyopo, ni wa jibu wako pia ndugu, tusaidie kugundua chanzo kimoja tu ambacho akitaumiza mtumiaji wa mwisho!
 
Nipende kuipongeza serekali yetu tukufu kwa kubuni kodi ya upangishaji hasa hasa ikiwalenga wenye majengo ya kimakazi au ya kibiashara hakika hapa kulikuwa na fedha nyingi mno zilizokuwa zinapotea na kulikosesha taifa letu mapato stahili na halali, ispokuwa ombi langu ni kwamba ingelipaswa kutangulia sensa ya nyumba hizi zikajulikana waziwazi zikaingizwa kwenye database ya serekali yetu ikafahamika nyumba fulani inavyumba vitano vya upangishaji na kila chumba hupangishwa kwa 50000,hivyo kwa mwezi nyumba hii huingiza 300000/-hivyo kwa mwaka nyumba hii inaingia 3600000/- hivyo serekali kuwa na fixed amount ambayo nyumba fulani iliyopo mtaa fulani, nambari fulani, kwa mwaka huu itapaswa kulipa kiasi kadhaa, unless mwenye nyumba awe amekwenda kuripoti mabadiliko ya kimatumizi ya jengo husika,
Lengo la uzi huu ni kupongeza na kushauri jinsi gani serekali yetu tukufu ianze zoezi hili kwa kutanguliza uwepo wa DATABASE wa majengo yote ya kiupangaji na kibiashara, tumechelewa tuanze sasa, kwa manufaa ya taifa letu.
::TAREHE 23 AUG NI SIKU YA SENSA KWA TAIFA LETU TUJITOKEZE KUHESABIWA.
Chawa mkubwa wewe utopolo
Ntakutia mangumi popoma wewe
JamiiForums2047296491.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nipende kuipongeza serekali yetu tukufu kwa kubuni kodi ya upangishaji hasa hasa ikiwalenga wenye majengo ya kimakazi au ya kibiashara hakika hapa kulikuwa na fedha nyingi mno zilizokuwa zinapotea na kulikosesha taifa letu mapato stahili na halali. Ispokuwa ombi langu ni kwamba ingelipaswa kutangulia sensa ya nyumba hizi zikajulikana waziwazi, zikaingizwa kwenye database ya serekali yetu, ikafahamika nyumba fulani inavyumba vitano vya upangishaji na kila chumba hupangishwa kwa 50,000/- hivyo kwa mwezi nyumba hii huingiza 300,000/- hivyo kwa mwaka nyumba hii inaingiZa 3,600,000/-.

Hivyo serekali kuwa na fixed amount ambayo nyumba fulani iliyopo mtaa fulani, nambari fulani, kwa mwaka huu itapaswa kulipa kiasi kadhaa. Unless mwenye nyumba awe amekwenda kuripoti mabadiliko ya kimatumizi ya jengo husika. Lengo la uzi huu ni kupongeza na kushauri jinsi gani serekali yetu tukufu ianze zoezi hili kwa kutanguliza uwepo wa DATABASE ya majengo yote ya kiupangaji na kibiashara. Tumechelewa, tuanze sasa kwa manufaa ya taifa letu.

TAREHE 23 AUG NI SIKU YA SENSA KWA TAIFA LETU TUJITOKEZE KUHESABIWA.
Mi napangisha na nasema anakaa mtoto wa shangazi, utabisha?
 
Tunawajibu wa kuisaidia serekali katika kuvumbua vyanzo vipya mbabadala wa vilivyopo, ni wa jibu wako pia ndugu, tusaidie kugundua chanzo kimoja tu ambacho akitaumiza mtumiaji wa mwisho!

Matrillion hayo hapo yamchotwa na 👆🏽 Mabeberu
 
Nipende kuipongeza serekali yetu tukufu kwa kubuni kodi ya upangishaji hasa hasa ikiwalenga wenye majengo ya kimakazi au ya kibiashara hakika hapa kulikuwa na fedha nyingi mno zilizokuwa zinapotea na kulikosesha taifa letu mapato stahili na halali. Ispokuwa ombi langu ni kwamba ingelipaswa kutangulia sensa ya nyumba hizi zikajulikana waziwazi, zikaingizwa kwenye database ya serekali yetu, ikafahamika nyumba fulani inavyumba vitano vya upangishaji na kila chumba hupangishwa kwa 50,000/- hivyo kwa mwezi nyumba hii huingiza 300,000/- hivyo kwa mwaka nyumba hii inaingiZa 3,600,000/-.

Hivyo serekali kuwa na fixed amount ambayo nyumba fulani iliyopo mtaa fulani, nambari fulani, kwa mwaka huu itapaswa kulipa kiasi kadhaa. Unless mwenye nyumba awe amekwenda kuripoti mabadiliko ya kimatumizi ya jengo husika. Lengo la uzi huu ni kupongeza na kushauri jinsi gani serekali yetu tukufu ianze zoezi hili kwa kutanguliza uwepo wa DATABASE ya majengo yote ya kiupangaji na kibiashara. Tumechelewa, tuanze sasa kwa manufaa ya taifa letu.

TAREHE 23 AUG NI SIKU YA SENSA KWA TAIFA LETU TUJITOKEZE KUHESABIWA.
  1. Furahia burden kwenda kwa ternant
  2. Hiyo tozo ina complication sana, what if wapangaji wamehama na nyumba haina mtu?
 
Back
Top Bottom