Naionya China, isijaribu

Naionya China, isijaribu

Japan nakubali. Ila India big no
Wahindi Wana silaha za nuclear wale ,pamoja na Pakistan , Mchina kamwe hawezi kwenda kwenye direct battle na India , kama nchi zote zenye nuclear kamwe haziwezi kwenda battle ya moja kwa moja Maana hiyo ni assured destruction Kwa kila mmoja
Kwa India umeongopa.
India Haina uwezo wa kupigana na China miaka elfu.
Mwaka Jana tu hao India walikua wakilalamika mvutano wa mpakani kati ya na China maana wanajeshi wa India walikua wakila Shaba za kufa mtu.
Kumbuka pia km India isingesaidiwa na Russia basi China ingemega eneo kubwa la India.
PAKISTAN IMESHAICHAPA INDIA PALE KASHMIR MPK SASA INAISUMBUA.
HIZO STORI ZA INDIA KUWA NA NGUVU ZA ABUNUASI ILA INDIA KIJESHI DHAIFU.
 
Kumbuka America ilivyochapwa na Vietcong wakakimbia Saigon miaka ya 70's, na mwaka jana 2021 wakafukuzwa Afghanistan na Taliban kwa aibu kubwa! Waamerika wanataka kuogopwa na watu kama were mleta uzi huu, ili waitawale DUNIA, na kusambaza sera za unyonyaji, ushoga, kuruhusu mihadarati n.k.
Ndugu Jeoh, kwani Uchina haijawahi kupigwa na Vietnam? Mbona alichezea kichapo kizito ambacho hawezi kukisahau?
Pitia Sino-Vietnamese conflict ya mwaka 79.
Vita Si jambo la mchezo hasa kama ni uvamizi kutoka nje.
 
Marekan bado ataendelea kuwa super power kwa sababu ana nguvu kubwa mno za kijeshi, uchumi mkubwa na imara zaidi, ana uwezo wa kutengeneza maadui karibu na mipaka ya adui yake ili awatumie hao maadui ku deal na ww kijeshi na kisaikolojia kama tunavyoona alivyomtengeneza adui wa Russia (Ukraine) na adui wa China (Taiwan) nk.
Uchumi wa US sio threat km kipindi kile .
China sasa hv ndio ameshikilia nyanja muhimu kiuchumi duniani.
Hata kiushawishi China ipo juu.
Ukanda wa Asian Pacific nchi karibu I zote zinaisapoti China hususan Indonesia,Malaysia,Vietnam,Thailand na Philippines na Myanmar.
Hivyo China sio mwepesi km mnavyodhani.
China yeye anachotaka ni kwamba asiichukue Taiwan kimabavu mwisho anaowaongoza wakajawa na kinyongo mwisho ku retaliate km ilivyo Kwa Russia 2014.
Anachotaka yeye kuwatesa watu kisaikolojia pia kuonesha kuwa China Ina uwezo kijeshi hata kiuchumi km alivyofanya Hong Kong .
 
Mchina anamtegemea mmarekani zaidi ya mmarekani anavyomtegemea mchina. Ndo maana mara kwa mara mmarekani humuwekea vikwazo mchina na mchina huonekana kutaka wakae chini na mmarekani ili wayamalize.
BIG NO USITUDANGANYE HAPA.
KATIKA VIKWAZO VYOTE VYA KIUCHUMI USA ALIVYOWEKA KWA CHINA VILIKWAMA NA KUMRUDIA MWENYEWE USA.
REJELEA SANCTIONS ZA TRUMP 2018 KWA CHINA UONE NAN ALIOMBA POO.
CHINA NI TAIFA AMBALO LISHAANZA KUONEKANA NI TEGEMEZI ULIMWENGUNI HUSUSAN KTK NYANJA YA INDUSTRIAL GOODS NA FINANCIAL AIDS.
 
Mkuu, China hawezi kuingiza pua yake Town kivita, maana anajua kitakachomkuta kabla ya kujipanga vizuri.
Bro China usiichukulie poa hivyo.
China ni global economic power sambamba na USA von derleyen wa EU alisema China na USA zinatakiwa zikae chini zimalize tofauti zao laa sivyo wakileta mutafaruku Dunia itatetemeka vikubwa kiuchumi.
China sio Russia.
 
Mkuu kawaulize Huawei ambao waliwekewa vikwazo na Trump wako wapi sikuhizi?
Huawei imerudi sokoni na ni simu ya tatu Kwa ubora duniani baada ya Samsung na Iphone ikifuatiwa na Oppo na Xiaomi ambazo zote za Mchina.
Kumbuka pia makampuni mengi ya USA yanayotumia malighafi Toka China yaliumia mpk kumuomba Trump amalize mzozo wa Huawei na China.
Hata wangeiua Huawei Oppo na Xiaomi zingechukua nafasi ktk simu tano Bora duniani ya USA Moja tu (iphone) Moja ya Korea tatu nzima zilizobaki za China.
Bado hujaelewa km jamaa amejiandaa vilivyo!?
 
Mkuu kawaulize Huawei ambao waliwekewa vikwazo na Trump wako wapi sikuhizi?
Huawei imerudi sokoni na ni simu ya tatu Kwa ubora duniani baada ya Samsung na Iphone ikifuatiwa na Oppo na Xiaomi ambazo zote za Mchina.
Kumbuka pia makampuni mengi ya USA yanayotumia malighafi Toka China yaliumia mpk kumuomba Trump amalize mzozo wa Huawei na China.
Hata wangeiua Huawei Oppo na Xiaomi zingechukua nafasi ktk simu tano Bora duniani ya USA Moja tu (iphone) Moja ya Korea tatu nzima zilizobaki za China.
Bado hujaelewa km jamaa amejiandaa viliv
 
Huawei imerudi sokoni na ni simu ya tatu Kwa ubora duniani baada ya Samsung na Iphone ikifuatiwa na Oppo na Xiaomi ambazo zote za Mchina.
Kumbuka pia makampuni mengi ya USA yanayotumia malighafi Toka China yaliumia mpk kumuomba Trump amalize mzozo wa Huawei na China.
Hata wangeiua Huawei Oppo na Xiaomi zingechukua nafasi ktk simu tano Bora duniani ya USA Moja tu (iphone) Moja ya Korea tatu nzima zilizobaki za China.
Bado hujaelewa km jamaa amejiandaa viliv
Mkuu imerudi kivipi? Taja model yake iliyoirudisha sokoni na idadi ya mauzo yake kulinganisha na kipindi kabla ya kuwekewa vikwazo.

Hao Oppo na Xiomi ni wa kawaida na hawamuambii kitu US. Hapo katika simu bora ni Iphone na Samsung pekee.
 
Kuna watu wana mahaba Niue humu,wanajifariji kwamba urusi haiathiriki chochote kutokana na hii anayoiita special epereshen,hawajiulizi hata swali la kawaida tu kwamba marekani pamoja na nguvu zake zote alizonanazo, uchumi imara, silaha kibao, mbona hajawai kuingia vitani peke yake mpaka aombe kolabo ya washirika wake?? .., hakuna kitu kinafilisi uchumi kama vita!
 
China sio wajinga km walivyo Russia.
Wale jamaa ni watu wanaokupiga kijanja.
We rudi tu Hongkong,walichofanyiwa Hongkong walikatiwa vitu muhimu vya kuwaendesha kiuchumi vikahamishiwa Macau na kukitwa Shanghai.
Kilichotokea shirika la ndege laenda kihasara, unemployment rate imeongezeka n.k n.k
Mpaka hiyo imefanya Hongkong wakuu wapingane na wale wanaotaka Hong Kong ijitenge.
Na hapo Taiwan China anafanya psychological war.
Sidhani kama anataka vita ya Moja Kwa Moja maana China anajua Taiwan haitapigana pekeake.
Pia anajua akijiingiza ktk vita uchumi wake utazorota na kufanya gap kat yake na USA kuongezeka.
Mkuu Hong Kong ni sehemu ya China kama ilivyo Zanzibar ndan ya Tanzania, na viongozi wa jimbo hilo la Hong Kong wanaongozwa na wa serikali kuu ya China.
Lakini Taiwan ni nchi huru inayojitawala yenyewe, kwahiyo ni vitu viwili tofauti. Hata hivyo kama ulivyosema, China haiwezi kuingia mzima mzima maana hasara itakayopata ni kubwa kuliko faida.
 
Mkuu imerudi kivipi? Taja model yake iliyoirudisha sokoni na idadi ya mauzo yake kulinganisha na kipindi kabla ya kuwekewa vikwazo.

Hao Oppo na Xiomi ni wa kawaida na hawamuambii kitu US. Hapo katika simu bora ni Iphone na Samsung pekee.
kaka uko ulimwengu gani? Huawei ndio simu ya kwanza kutoka na 5G,je hilo hulijui?
pia huawei ni simu ya tatu kwa mauzo duniani je hilo ni jambo dogo?
pia bro hujawai kufanya biashara nini?
mwenzako ana maandazi ya kuoka,chapati na sambusa na vyote anauza sambamba na kukimbizana ww je nan yuko vzuri kibiashara?
tafuta oppo zitafute pia xiaomi kesha uzitumie kesha jitafakari je ulikua unaongea sahihi?
mwisho huawei kabla ya kuekewa vikwazo kutumia google iliizidi mauzo iphone ni mwanzo wa 2018 km sikosei.

Point kuu hapa ni kwamba China kibiashara ni imara ndugu embu elewa nn najaribu kumaanisha.
mathalan shule ya kibasila inatoa manafunzi wa kwanza kitaifa,jangwani inatoa mwanafunzi wapili litaifa na temeke inatoa mwanafunzi wa tatu mpk watano wapi watakua na academic performance kubwa?
 
Mkuu Hong Kong ni sehemu ya China kama ilivyo Zanzibar ndan ya Tanzania, na viongozi wa jimbo hilo la Hong Kong wanaongozwa na wa serikali kuu ya China.
Lakini Taiwan ni nchi huru inayojitawala yenyewe, kwahiyo ni vitu viwili tofauti. Hata hivyo kama ulivyosema, China haiwezi kuingia mzima mzima maana hasara itakayopata ni kubwa kuliko faida.
hujakosea kaka ila nachojaribu kusema ni kwamba China anapigana vita za kisaikolojia kuliko za kimoto.
 
kaka uko ulimwengu gani? Huawei ndio simu ya kwanza kutoka na 5G,je hilo hulijui?
pia huawei ni simu ya tatu kwa mauzo duniani je hilo ni jambo dogo?
pia bro hujawai kufanya biashara nini?
mwenzako ana maandazi ya kuoka,chapati na sambusa na vyote anauza sambamba na kukimbizana ww je nan yuko vzuri kibiashara?
tafuta oppo zitafute pia xiaomi kesha uzitumie kesha jitafakari je ulikua unaongea sahihi?
mwisho huawei kabla ya kuekewa vikwazo kutumia google iliizidi mauzo iphone ni mwanzo wa 2018 km sikosei.

Point kuu hapa ni kwamba China kibiashara ni imara ndugu embu elewa nn najaribu kumaanisha.
mathalan shule ya kibasila inatoa manafunzi wa kwanza kitaifa,jangwani inatoa mwanafunzi wapili litaifa na temeke inatoa mwanafunzi wa tatu mpk watano wapi watakua na academic performance kubwa?
Mkuu kwanza acha porojo nyingi usijisumbue kunilisha bla bla leta data. Hiyo Huawei yako tangu ile ban hata top three haipo. Hao wengine ni kwamba wanaliwa timing tu wasivimbe kichwa hiyo ndio maana ya Super power sasa.
Screenshot_20220811-054440.jpg
 
Mkuu kwanza acha porojo nyingi usijisumbue kunilisha bla bla leta data. Hiyo Huawei yako tangu ile ban hata top three haipo. Hao wengine ni kwamba wanaliwa timing tu wasivimbe kichwa hiyo ndio maana ya Super power sasa.View attachment 2320576
Duh watu mna taarifa za kushiba, salute mwamba.
 
hujakosea kaka ila nachojaribu kusema ni kwamba China anapigana vita za kisaikolojia kuliko za kimoto.
Marekani ukiachilia mbali nguvu za kijeshi pamoja na uchumi mkubwa, pia imefanikiwa kuwa na ushawishi mkubwa katika zile nchi muhimu zenye kushikilia uchumi wa dunia.

Baadhi ya nchi hizo ni 👇
1) UK
2) Germany
3) France
4) Italy
5) Scandinavia countries
6) Canada
7) Australia
Na nyinginezo nyingi ambazo sikuzitaja. So hizo nchi zikishawishiwa na Marekani kuiwekea vikwazo China ujue China itaanguka vibaya, kwan yenyewe inategemea zaidi uuzaji wa bidhaa zake mbali mbali katika nchi hizo. Ila yenyewe haina resources kama zile zilizopo Russia, Iran nk.

Yani wakubwa hao wakiiwekea vikwazo vya kiuchumi, amini China itakuwa tabaan kama North Korea.
 
Mkuu kwanza acha porojo nyingi usijisumbue kunilisha bla bla leta data. Hiyo Huawei yako tangu ile ban hata top three haipo. Hao wengine ni kwamba wanaliwa timing tu wasivimbe kichwa hiyo ndio maana ya Super power sasa.View attachment 2320576
porojo nakulisha mm au unajilisha mwenyewe?
katafute data za 2018 mwanzoni na 2021 huawei ni simu yas ngapi.
kafuatilie huawei model za P ambazo za kwanza kutoka na 5G.
 
porojo nakulisha mm au unajilisha mwenyewe?
katafute data za 2018 mwanzoni na 2021 huawei ni simu yas ngapi.
kafuatilie huawei model za P ambazo za kwanza kutoka na 5G.
mwaka 2018 samsung ilikua na 293.7 millions unit sales,iphone 212.1 millions unit of sale na huawei 206millions unit of sale.Hiyo report uliotoa iko sahihi hujakosea,ila hapo tayari inathibitisha China kibiashara yuko vizuri kubali tu bro.oppo,xizomi,vivo ni zote chinese brand na zipo ktk top smartphones.
natumai umeelewa nn namaanisha.
 
Hapa mtoa post umeangalia upande mmoja tu, kwan hao USA na washirika wake unadhan hawapotez silaha ktk kutoa msaada? Pia uchumi huw unategemeana kama China na Taiwan wakipigna bas US lazma adhurike pa kubwa mana Taiwan ni mshirika wa tano wa US ktk biashara na US ni mshirika wa pili kwa biashara wa Taiwan, hivyo bas ikitokea vita ni wote wataathirika na sio China tu. Mfano mzuri vita ya Russia vs Ukraine imepelekea dunia nzima na USA mwenyew kupanda kwa gharama za maisha kwa kias kikubwa: USA mafuta yapo juu mara dufu kuliko Tanzania unaljua hilo?
"Mataifa makubwa yakipigana ni dunia nzima huathirika mana haya USA na washirika" wake wanakwama kibiashara zaid tu watauza silaha na kupoteza utajir wao kwenye kutoa misaada kama ilivyo USA &NATO kwa Ukraine sasa hivi
 
Back
Top Bottom