Naionya China, isijaribu

Naionya China, isijaribu

Wahindi Wana silaha za nuclear wale ,pamoja na Pakistan , Mchina kamwe hawezi kwenda kwenye direct battle na India , kama nchi zote zenye nuclear kamwe haziwezi kwenda battle ya moja kwa moja Maana hiyo ni assured destruction Kwa kila mmoja
,
5d9387c790093c09d470a88147d0c0fa.jpg
 
Baada ya vita, ukraine itakuwa imebaki nusu,, kuanzia pale mto Dniper
Marekani katenga bajeti ya miaka 5 kufadhili vita vyake huko Ukraine, unafikiri urusi atakuwa na pumzi kuhimili hiyo miaka 5?? Urusi akiteka miji Wala sio issue, maana IPO bajeti ya miaka 5,kwa hiyo game ndo kwanza linaanza..,na tuseme labda urusi kuiteka bahadhi ya miji ni gorli la mapema
 
Kwa hiyo una uhakika kwamba Ukraine itakuwepo hadi kufikia hiyo miaka mi 5.
Kama urusi alishindwa kuisambaratisha Ukraine zile wiki 3 za mwanzo wakati hii operesheni ikiwa ya moto kwelikweli, usitegemee Tena kuwa Putin atauangusha utawala wa zelensiky..., kadri muda unavyokwenda ndivyo Ukraine inavyozidi kuhimarika kwa kupokea silaha za kisasa zaidi,
 
Russia asipokuwa makini atajikuta kafilisika na hii vita, vita sio mchezo na ndio mwanzo wa umaskini, sababu kubwa ya kuanguka Russia federations ilikuwa ni matumizi makubwa ya kijeshi wakasahau uchumi, China asiingie vitani huo ni mtego, lakini nilivyoona Pelosi akiingia Taiwan na zile war jets na China hakufanya chochote wakati makombora na meli za kivita za China zinaangalia tuu basi naamini China hataingia vitani maana anajua hasara ya hii kitu
 
Kwa upande wa Russia

1. Alivyomega Crimea sio mabeberu walifurahia, waliruhusu aimege kisha wakalaani kinafki, media zikafunguliwa kumsifia Putin ni mbabe. Asichokijua ni kwamba, walikuwa wanamjaza ili baadae aingie na Ukraine. Hatimae kajaa kweli Ukraine, anatamani kutoka ila akitazama anaona ni aibu nzito kwake.

2. Leo watu wanasifia Russia kuchukua majimbo, wanasahau kuwa mwezi wa 3 au wa 4 nchi za Magharibi zimepanga kutoa bajeti ya vita hii kwa muda wa miaka 5.

3. US akasema kuwa nia yake kule Ukraine ni kutaka Russia atumie muda mwingi ktk hii Vita. Tumesahau hii kauli ya Biden?

HITIMISHO

Russia atachukua miji na vijiji lakini baada ya muda Ukraine itavikomboa tena. Rejea Ukraine alivyoikomboa Kharkiv, Snake Island na sasa Kherson inakaribia kukombolewa.

Hii yote ni kumchosha Russia. Hata hizi kelele Ulaya wanazopiga mfumuko wa bei, kwao wanajua ni kipindi cha muda tu, tayari walishajipanga kukabiliana na Russia.

CHINA V TAIWAN.

Moja ya vitu nisivyovifikiria ni China kuingia Vitani, China ana majirani ambao akiingia Taiwan na akadhoofika kwa namna yoyote ile, basi muda huohuo India na Japan wanaweza nao wakawasha moto hapo China.

India na Japan hawa wana uwezo kabisa wa kuikalisha serikali ya China totally. Hizi nchi mbili teknolojia zao ktk silaha zao za kivita ni nzuri kuliko mchina.

Mziki wa India na Japan sio wa kitoto.
Mtoe India maana ni mwanachama wa BRICS

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Russia asipokuwa makini atajikuta kafilisika na hii vita, vita sio mchezo na ndio mwanzo wa umaskini, sababu kubwa ya kuanguka Russia federations ilikuwa ni matumizi makubwa ya kijeshi wakasahau uchumi, China asiingie vitani huo ni mtego, lakini nilivyoona Pelosi akiingia Taiwan na zile war jets na China hakufanya chochote wakati makombora na meli za kivita za China zinaangalia tuu basi naamini China hataingia vitani maana anajua hasara ya hii kitu
China ameshalisoma SoMo vizuri sana kupitia kile kinachoendelea nchini Ukraine,
Kwa hiyo usitegemee kumuona china akijiingiza kwenye mgogoro wakati huu,

Anachofanya china Kwa Sasa ni kufutafuta tu aibu Ili ulimwengu uendelee kumuona kama super pawer
 
Hamjambo wakuu.

Ndugu wana Jamii Forum baada ya kufuatilia kile kinachoendelea kutokea kule katika mpaka wa kisiwa cha Taiwan, kuhusu mzozo wa China na Taiwan.

Kama ningekuwa na uwezo wa kuwasiliana na uongozi wa China, basi ushauri wangu mkubwa kwao ingekuwa ni kuwaambia wasithubutu kukivamia kisiwa kile.

Ule ni mtego uliotegwa na hawa wababe wa dunia wakiongozwa na baba lao USA.

Ikumbukwe kwamba hata vita ya Ukraine na Russia ilianza hivi hivi, huku Russia ikiwa na uhakika wa kuisambaratisha Ukraine kwa muda wa siku 3 tu au ikichelewa sana ni week. Sasa kinachoendelea leo kila mtu anakiona.

Russia imekuwa ikitumia kila aina ya njia za kijeshi, rasilimali, na jeshi lake la akiba kuimaliza vita hiyo lkn inashindikana.

Leo hii Russia ishatumia kiasi kikubwa cha silaha zake, ishapoteza kiasi kikubwa cha wanajeshi wake, ishayumbisha uchumi wake na kushuka thamani kwa hela yake (na hili ndio USA na nchi zingine za NATO walilitaka) bila kufanikiwa kuiangusha Serikali ya Ukraine wala kuuteka mji mkuu.

Kile kinachoendelea sasa hivi kimetokana na uzembe wa Putin na serikali yake, sasa wanaona yamekuwa magumu kwao, zile siku 3 ikawa week, ile week ikawa mwezi, mwezi sasa imekuwa miezi.

Na kila wanavyoendelea na vita na ndio jinsi wanavyoendelea kupata hasara kwa kupoteza askari, silaha mbalimbali za kijeshi na kudhoofisha uchumi wao.

Na wamarekani wakishirikiana na ndugu zao wa West wataendelea kuijambisha Russia kwa kujifanya wanaitumia Ukraine silaha (japo nyingi ni za kichovu) ili kuichochea Russia izidi kuendeleza mashambulizi na kudhoofisha nguvu zake kwa miaka kadhaa ijayo.

Ni nani kati ya wana NATO asiejua madhara ya kuingia vitani mzimamzima. Leo hii marekani haiwezi kuthubutu kuingia vitani hata na Mexico, japo kijeshi inaweza kutumia hata jeshi lake lililo katika jimbo la California tu kuisambaratisha Mexico, lakn wanaangalia hasara ambayo inaweza kuipata katika vita hiyo.

Marekani inaweza kutuma silaha au vijana wake kadhaa wa jeshi kwenda kusaidia sehem fulan kwa ajili ya masilahi ya marekani ila haiwezi kuingia vitani moja kwa moja kama ilivyofanya Russia.

Ni mara ngapi Iran imekuwa ikiangamiza ndege zisizo na rubani za Marekani, kuzilipua meli za Marekani na pengine kuteka hata meli za washirika hao wa Marekani, lakn kamwe Marekani haikufikiria na haifikirii kuingia vitani, maana inaelewa kuwa vita kuianza ni vyepesi sana lakin kuimaliza ni vigumu.

Sasa inashangaza kuona China pamoja na kuwa na wasomi wengi pamoja na intelejensi kubwa duniani, lakin inataka kuingia mtegoni kama alivyoingia ndugu yake Russia. USA na swaiba zake wana uwezo wa kutoa msaada kwa Taiwan au Ukraine kwa miaka kumi ili mradi lengo lao litimie.
Marekani na swaiba zake sio wajinga, wanajua vizuri kile wanachokifanya.

Na majibu kuhusu uchumi wa Russia na nguvu zake za kijeshi tutayapata baadae baada ya vita kuisha. Kwa sasa bado inachochewa chochewa ili iweze kutumia hata zile silaha ambazo ingetakiwa kutumia pale inapopambana na nchi kubwa kama USA, China, India nk.
Mwisho wa siku ghala la silaha litabaki tupu.

So naionya China kama inataka kuendelea kuwa nchi ya pili kwa uchumi na ya tatu kwa nguvu za kijeshi, basi iachane na wazo la kuivamia Taiwan maana itapoteza nafasi zake zote mbili, kuanzia kwenye uchumi hadi jeshi. Vikwazo itakavyowekewa na wakubwa hao wa dunia vitakuwa sio vya dunia hii, na hapo ndipo atakapoanza kuona madhara ya kuingia vitani kichwa kichwa bila kutumia akili.
Mswahili akishashiba maharage badala ile gasi itokee sehem sahh baas inatokea mdomon na kwenye ubongo...yaan kajamaa kanajamba kwa mdomo kiasi hik kwel..ati aliekwambia Russia yuko vitani ni nani?? Nani aliekwambia Russia alisema ndani ya siku anamaliza...ebu uwe unasoma baas..kuna watu wameaminishwa kwamba USA ndo kila kitu...hii ni tabia ya kiafrica..kwa sabab ww ulikuwa mtumwa kwao baas unazan wote wana akili kama yako..ebu jamba kupitia mfumo asili buana do not defy the nature.
 
Tujikumbushe kwanza Uchina kama sikosei karibia zaidi ya mara tatu ilijaribu kuivamia Taiwan. Hata pia kwa Taiwan kutaka kufanya mpango wa kurudisha utawala wake Uchina kupitia mpango wa Project National Glory.
Mfano upo mgogoro wa mwaka 1954 ambao ulikuwa mkubwa kiasi kwamba Marekani ilitoa onyo la kutumia mabomu ya Nuclear kama utawala wa Mao Zedong utajaribu kuivamia Taiwan hali iliyomfanya Uchina atulie kwa muda kujitathmini upya. Pitia Taiwan strait crisis 1, 2 na 3.

Hivyo kijana mpango wa Uchina kuivamia Taiwan upo pale pale either through diplomatic process or through armed means, kinachomkwamisha Uchina ni uwepo wa Super Power wa Dunia pale Taiwan ambapo kuwepo kwa Taiwan kunamfanya Marekani aweze kum contain Uchina katika eneo la Pacific ya mbali akisaidiwa na Korea Kusini na Japan.
Uzuri ulijitokeza pale Uchina alipoweza kujitahidi kumtengeneza Communist Ally North Korea la sivyo angekuwa amezingirwa pakubwa sana (Wataalamu wanaelewa hapa madhara ya kuzingwa na adui, ndivyo alivyofanya Urusi baada kuona Ukraine inataka kujiunga NATO).
Katika kila namna Uchina itajaribu kila njia kuichukua Taiwan ila uwepo wa US pale ni nightmare kwa Taifa hilo kwa sababu mbalimbali kama vile uchumi na hali ya usalama maeneo ya Far East itakayo mwarhiri yeye vilevile. Wasalam.
Ahsante sana mkuu The Republican umeeleweka vyema.
 
Mswahili akishashiba maharage badala ile gasi itokee sehem sahh baas inatokea mdomon na kwenye ubongo...yaan kajamaa kanajamba kwa mdomo kiasi hik kwel..ati aliekwambia Russia yuko vitani ni nani?? Nani aliekwambia Russia alisema ndani ya siku anamaliza...ebu uwe unasoma baas..kuna watu wameaminishwa kwamba USA ndo kila kitu...hii ni tabia ya kiafrica..kwa sabab ww ulikuwa mtumwa kwao baas unazan wote wana akili kama yako..ebu jamba kupitia mfumo asili buana do not defy the nature.
Hata ukijipoza kwa kutoa matusi hiyo haibadilishi ukweli halisi
 
Hapa ndio watu wajue sasa yupi ni super power na yupi ni supa glue
Marekan bado ataendelea kuwa super power kwa sababu ana nguvu kubwa mno za kijeshi, uchumi mkubwa na imara zaidi, ana uwezo wa kutengeneza maadui karibu na mipaka ya adui yake ili awatumie hao maadui ku deal na ww kijeshi na kisaikolojia kama tunavyoona alivyomtengeneza adui wa Russia (Ukraine) na adui wa China (Taiwan) nk.
 
Hamjambo wakuu.

Ndugu wana Jamii Forum baada ya kufuatilia kile kinachoendelea kutokea kule katika mpaka wa kisiwa cha Taiwan, kuhusu mzozo wa China na Taiwan.

Kama ningekuwa na uwezo wa kuwasiliana na uongozi wa China, basi ushauri wangu mkubwa kwao ingekuwa ni kuwaambia wasithubutu kukivamia kisiwa kile.

Ule ni mtego uliotegwa na hawa wababe wa dunia wakiongozwa na baba lao USA.

Ikumbukwe kwamba hata vita ya Ukraine na Russia ilianza hivi hivi, huku Russia ikiwa na uhakika wa kuisambaratisha Ukraine kwa muda wa siku 3 tu au ikichelewa sana ni week. Sasa kinachoendelea leo kila mtu anakiona.

Russia imekuwa ikitumia kila aina ya njia za kijeshi, rasilimali, na jeshi lake la akiba kuimaliza vita hiyo lkn inashindikana.

Leo hii Russia ishatumia kiasi kikubwa cha silaha zake, ishapoteza kiasi kikubwa cha wanajeshi wake, ishayumbisha uchumi wake na kushuka thamani kwa hela yake (na hili ndio USA na nchi zingine za NATO walilitaka) bila kufanikiwa kuiangusha Serikali ya Ukraine wala kuuteka mji mkuu.

Kile kinachoendelea sasa hivi kimetokana na uzembe wa Putin na serikali yake, sasa wanaona yamekuwa magumu kwao, zile siku 3 ikawa week, ile week ikawa mwezi, mwezi sasa imekuwa miezi.

Na kila wanavyoendelea na vita na ndio jinsi wanavyoendelea kupata hasara kwa kupoteza askari, silaha mbalimbali za kijeshi na kudhoofisha uchumi wao.

Na wamarekani wakishirikiana na ndugu zao wa West wataendelea kuijambisha Russia kwa kujifanya wanaitumia Ukraine silaha (japo nyingi ni za kichovu) ili kuichochea Russia izidi kuendeleza mashambulizi na kudhoofisha nguvu zake kwa miaka kadhaa ijayo.

Ni nani kati ya wana NATO asiejua madhara ya kuingia vitani mzimamzima. Leo hii marekani haiwezi kuthubutu kuingia vitani hata na Mexico, japo kijeshi inaweza kutumia hata jeshi lake lililo katika jimbo la California tu kuisambaratisha Mexico, lakn wanaangalia hasara ambayo inaweza kuipata katika vita hiyo.

Marekani inaweza kutuma silaha au vijana wake kadhaa wa jeshi kwenda kusaidia sehem fulan kwa ajili ya masilahi ya marekani ila haiwezi kuingia vitani moja kwa moja kama ilivyofanya Russia.

Ni mara ngapi Iran imekuwa ikiangamiza ndege zisizo na rubani za Marekani, kuzilipua meli za Marekani na pengine kuteka hata meli za washirika hao wa Marekani, lakn kamwe Marekani haikufikiria na haifikirii kuingia vitani, maana inaelewa kuwa vita kuianza ni vyepesi sana lakin kuimaliza ni vigumu.

Sasa inashangaza kuona China pamoja na kuwa na wasomi wengi pamoja na intelejensi kubwa duniani, lakin inataka kuingia mtegoni kama alivyoingia ndugu yake Russia. USA na swaiba zake wana uwezo wa kutoa msaada kwa Taiwan au Ukraine kwa miaka kumi ili mradi lengo lao litimie.
Marekani na swaiba zake sio wajinga, wanajua vizuri kile wanachokifanya.

Na majibu kuhusu uchumi wa Russia na nguvu zake za kijeshi tutayapata baadae baada ya vita kuisha. Kwa sasa bado inachochewa chochewa ili iweze kutumia hata zile silaha ambazo ingetakiwa kutumia pale inapopambana na nchi kubwa kama USA, China, India nk.
Mwisho wa siku ghala la silaha litabaki tupu.

So naionya China kama inataka kuendelea kuwa nchi ya pili kwa uchumi na ya tatu kwa nguvu za kijeshi, basi iachane na wazo la kuivamia Taiwan maana itapoteza nafasi zake zote mbili, kuanzia kwenye uchumi hadi jeshi. Vikwazo itakavyowekewa na wakubwa hao wa dunia vitakuwa sio vya dunia hii, na hapo ndipo atakapoanza kuona madhara ya kuingia vitani kichwa kichwa bila kutumia akili.
Nimuda sahihikabisa Kwa uchina kuchukuwa hatua kaletena kala mrusi haja acha operation yake,na pia ni muda sahihi zaidi ya ushiriki wa mchina na mrusi dhidi ya beberu wa ulaya na America na ni muda sahihi wakuwadhoofisha zaidi,kama mrusi ameweza kuwatikisa pamoja na umoja wao mungano wa mrusi na mchina na harakati zao ni tulizo Kwa mabeberu hutaki muulize kiherehere BoJo,Macron,Dragh mjanja TU ni victor Orban kwani amewakataa mabeberu mchana kweupere🏃
 
Marekan bado ataendelea kuwa super power kwa sababu ana nguvu kubwa mno za kijeshi, uchumi mkubwa na imara zaidi, ana uwezo wa kutengeneza maadui karibu na mipaka ya adui yake ili awatumie hao maadui ku deal na ww kijeshi na kisaikolojia kama tunavyoona alivyomtengeneza adui wa Russia (Ukraine) na adui wa China (Taiwan) nk.
Acha kutudanganya,huyo ni mnaa maana anawatumia mazuzu yeye kuwa salama🤔
 
Hamjambo wakuu.

Ndugu wana Jamii Forum baada ya kufuatilia kile kinachoendelea kutokea kule katika mpaka wa kisiwa cha Taiwan, kuhusu mzozo wa China na Taiwan.

Kama ningekuwa na uwezo wa kuwasiliana na uongozi wa China, basi ushauri wangu mkubwa kwao ingekuwa ni kuwaambia wasithubutu kukivamia kisiwa kile.

Ule ni mtego uliotegwa na hawa wababe wa dunia wakiongozwa na baba lao USA.

Ikumbukwe kwamba hata vita ya Ukraine na Russia ilianza hivi hivi, huku Russia ikiwa na uhakika wa kuisambaratisha Ukraine kwa muda wa siku 3 tu au ikichelewa sana ni week. Sasa kinachoendelea leo kila mtu anakiona.

Russia imekuwa ikitumia kila aina ya njia za kijeshi, rasilimali, na jeshi lake la akiba kuimaliza vita hiyo lkn inashindikana.

Leo hii Russia ishatumia kiasi kikubwa cha silaha zake, ishapoteza kiasi kikubwa cha wanajeshi wake, ishayumbisha uchumi wake na kushuka thamani kwa hela yake (na hili ndio USA na nchi zingine za NATO walilitaka) bila kufanikiwa kuiangusha Serikali ya Ukraine wala kuuteka mji mkuu.

Kile kinachoendelea sasa hivi kimetokana na uzembe wa Putin na serikali yake, sasa wanaona yamekuwa magumu kwao, zile siku 3 ikawa week, ile week ikawa mwezi, mwezi sasa imekuwa miezi.

Na kila wanavyoendelea na vita na ndio jinsi wanavyoendelea kupata hasara kwa kupoteza askari, silaha mbalimbali za kijeshi na kudhoofisha uchumi wao.

Na wamarekani wakishirikiana na ndugu zao wa West wataendelea kuijambisha Russia kwa kujifanya wanaitumia Ukraine silaha (japo nyingi ni za kichovu) ili kuichochea Russia izidi kuendeleza mashambulizi na kudhoofisha nguvu zake kwa miaka kadhaa ijayo.

Ni nani kati ya wana NATO asiejua madhara ya kuingia vitani mzimamzima. Leo hii marekani haiwezi kuthubutu kuingia vitani hata na Mexico, japo kijeshi inaweza kutumia hata jeshi lake lililo katika jimbo la California tu kuisambaratisha Mexico, lakn wanaangalia hasara ambayo inaweza kuipata katika vita hiyo.

Marekani inaweza kutuma silaha au vijana wake kadhaa wa jeshi kwenda kusaidia sehem fulan kwa ajili ya masilahi ya marekani ila haiwezi kuingia vitani moja kwa moja kama ilivyofanya Russia.

Ni mara ngapi Iran imekuwa ikiangamiza ndege zisizo na rubani za Marekani, kuzilipua meli za Marekani na pengine kuteka hata meli za washirika hao wa Marekani, lakn kamwe Marekani haikufikiria na haifikirii kuingia vitani, maana inaelewa kuwa vita kuianza ni vyepesi sana lakin kuimaliza ni vigumu.

Sasa inashangaza kuona China pamoja na kuwa na wasomi wengi pamoja na intelejensi kubwa duniani, lakin inataka kuingia mtegoni kama alivyoingia ndugu yake Russia. USA na swaiba zake wana uwezo wa kutoa msaada kwa Taiwan au Ukraine kwa miaka kumi ili mradi lengo lao litimie.
Marekani na swaiba zake sio wajinga, wanajua vizuri kile wanachokifanya.

Na majibu kuhusu uchumi wa Russia na nguvu zake za kijeshi tutayapata baadae baada ya vita kuisha. Kwa sasa bado inachochewa chochewa ili iweze kutumia hata zile silaha ambazo ingetakiwa kutumia pale inapopambana na nchi kubwa kama USA, China, India nk.
Mwisho wa siku ghala la silaha litabaki tupu.

So naionya China kama inataka kuendelea kuwa nchi ya pili kwa uchumi na ya tatu kwa nguvu za kijeshi, basi iachane na wazo la kuivamia Taiwan maana itapoteza nafasi zake zote mbili, kuanzia kwenye uchumi hadi jeshi. Vikwazo itakavyowekewa na wakubwa hao wa dunia vitakuwa sio vya dunia hii, na hapo ndipo atakapoanza kuona madhara ya kuingia vitani kichwa kichwa bila kutumia akili.
Yaani wewe kwa akili yako na upeo wako unahisi umewazidi think tank na strategist wa Russia?? Kwamba wewe umeona mtego halafu wao hawajaona??? Msipende kuleta ujuaji kwa vitu ambavyo ukweli halisi hatutakuja kuufahamu kwa sasa!!!!
Nb: Dunia inaongozwa kwa siri sana.Mimi na wewe hatuzifahamu.
 
Yaani wabongo bana😂😂😂, unakaa nchi ya ulimwengu wa tatu, kwenye dampo la dunia, unajitia kuwashauri viongozi na serikali ya Russia na China yenye agents hatari wanayoijua hii dunia?
Umekula ugali wako na muhogo umeshiba unakuja kudhani una ijua kesho ya Russia kuliko FSB? Raisi tu wa Russia ni former KGB, serikali ya Ukraine ina agents wengi tu wana leak data...

Unaijua China kuliko MSS? Chinese wana puppets wengi tu serikali ya Taiwan, tunajua machache sana...

Russia wanajua walifanyalo, walishajiandaa, kila kitu kipo calculated...

Kama umeshiba ugali better ukae chini ufuatilie bifu ya Harmonize na Diamond na udaku wa insta, huwezi ijua China au Russia kama agents wao ambao hawalali, wana risk afya zao na maisha yao, wamesomea ukachero na wanaishi ukachero na wanakula kikachero hata mapenzi ni kikachero, wakipumua ni ukachero... Ogopa sana hio...

Kwamba Russia imeingia mtegoni😂😂😂, Huyo ni mbongo, hivi vile vichwa vyote vya wale wazee pale Moscow vyenye mvi, makachero wabobezi toka USSR hawakujua plans za US?😂😂

Inaskitisha sana kwa kweli..
Sawa mkuu we endelea kuwapa moyo warusi ila kuna siku tutaufufua huu uzi ujibu maswali nitakayokuuliza muda huo.
 
Back
Top Bottom