Naionya China, isijaribu

Naionya China, isijaribu

Marekani ukiachilia mbali nguvu za kijeshi pamoja na uchumi mkubwa, pia imefanikiwa kuwa na ushawishi mkubwa katika zile nchi muhimu zenye kushikilia uchumi wa dunia.

Baadhi ya nchi hizo ni 👇
1) UK
2) Germany
3) France
4) Italy
5) Scandinavia countries
6) Canada
7) Australia
Na nyinginezo nyingi ambazo sikuzitaja. So hizo nchi zikishawishiwa na Marekani kuiwekea vikwazo China ujue China itaanguka vibaya, kwan yenyewe inategemea zaidi uuzaji wa bidhaa zake mbali mbali katika nchi hizo. Ila yenyewe haina resources kama zile zilizopo Russia, Iran nk.

Yani wakubwa hao wakiiwekea vikwazo vya kiuchumi, amini China itakuwa tabaan kama North Korea.
china bro ni nchi yenye strong bank ulimwenguni,ina contribute approximately 64 percent of industrial goods.hizo nchi kamwe ht zikisema ziiweke vikwazo china vitakwama. Asia,South america,Africa,carrebean islands kote huko bidhaa za China zipo kwa wingi kuliko unavyodhania,kote huko wamekopeshwa na benki ya china ,kote huko china ana ushawishi pia.NIJIBU KAKA HAPO WAPI VIKWAZO VYA KIUCHUMI VITAFANYA KAZI?
 
Marekani ukiachilia mbali nguvu za kijeshi pamoja na uchumi mkubwa, pia imefanikiwa kuwa na ushawishi mkubwa katika zile nchi muhimu zenye kushikilia uchumi wa dunia.

Baadhi ya nchi hizo ni 👇
1) UK
2) Germany
3) France
4) Italy
5) Scandinavia countries
6) Canada
7) Australia
Na nyinginezo nyingi ambazo sikuzitaja. So hizo nchi zikishawishiwa na Marekani kuiwekea vikwazo China ujue China itaanguka vibaya, kwan yenyewe inategemea zaidi uuzaji wa bidhaa zake mbali mbali katika nchi hizo. Ila yenyewe haina resources kama zile zilizopo Russia, Iran nk.

Yani wakubwa hao wakiiwekea vikwazo vya kiuchumi, amini China itakuwa tabaan kama North Korea.
ILA KAKA NAPENDA SANA POINT ZAKO ZINANIFUNGUA SANA NA KUNIFANYA NIWEZE KUJENGA HOJA KONGOLE KWAKO BRO,LETE NONDO ZAIDI.
 
china bro ni nchi yenye strong bank ulimwenguni,ina contribute approximately 64 percent of industrial goods.hizo nchi kamwe ht zikisema ziiweke vikwazo china vitakwama. Asia,South america,Africa,carrebean islands kote huko bidhaa za China zipo kwa wingi kuliko unavyodhania,kote huko wamekopeshwa na benki ya china ,kote huko china ana ushawishi pia.NIJIBU KAKA HAPO WAPI VIKWAZO VYA KIUCHUMI VITAFANYA KAZI?
Mkuu narudia tena, pamoja na kwamba China ina ushawishi mkubwa kwa baadhi ya nchi za Asia, America ya kusini, Africa nk.
Lakini bado pato lake kubwa zaidi linategemea nchi za ulaya haswa haswa zile za West Europeans countries na Marekani. Hizo nchi zingine ulizozitaja uchumi wake ni wa kuunga unga, kwahiyo hata raia wao ununuaji wao wa bidhaa kutoka China ni mdogo ukilinganisha na manunuzi yanayofanywa na raia wa nchi za Ulaya.

Fikiria toka Mmarekani na swahiba zake (NATO - ulaya) walipomwambia Mchina asipime kujaribu kumsaidia Mrusi maana atakutana na vikwazo ambayo itakuwa ngumu kuvikwepa, je ushamuona tena anajihusisha moja kwa moja na mzozo wa Ukraine zaidi ya kuongelea kwa mbali tu ili asikike. Watu wengi wakiwepo warusi wenyewe walitegemea labda mchina angekuwa nyuma yao katika vita ile. Ila mpaka leo kauchuna tu, anaogopa wakubwa hao wasije kumfanya akose hata hela ya kuwalipa watumishi wake wa serikali huko mbele. Mchina kashindwa hata na mu Iran ambae kwa ubabe wake ametuma ndege zisizo na ruban kumsaidia mrusi. Na pia Iran juzi wamemuazima mrusi satellite yao mpya kabisa ambayo haijawahi kutumiwa na nchi yoyote ile zaidi ya yenyewe Iran na swahiba wao mrusi.

Ila mchina ameshindwa kufanya lolote la maana kwa jirani yake huyo (mrusi) kwa lengo la kuogopa vikwazo. So unawezaje kusema kuwa eti hata wakiwekewa vikwazo watakuwa sawa tu?
 

Attachments

  • Screenshot_20220807-153611.jpg
    Screenshot_20220807-153611.jpg
    53.1 KB · Views: 11
ILA KAKA NAPENDA SANA POINT ZAKO ZINANIFUNGUA SANA NA KUNIFANYA NIWEZE KUJENGA HOJA KONGOLE KWAKO BRO,LETE NONDO ZAIDI.
Asante mkuu, hata wewe pia si haba, kuna baadhi ya mambo pia najifunza au nayapata kutoka kwako mkuu.
Ubarikiwe sana kwa post zako zenye akili na funzo kwa anaetaka kujifunza.

Shukrani sana mkuu.
 
Mkuu narudia tena, pamoja na kwamba China ina ushawishi mkubwa kwa baadhi ya nchi za Asia, America ya kusini, Africa nk.
Lakini bado pato lake kubwa zaidi linategemea nchi za ulaya haswa haswa zile za West Europeans countries na Marekani. Hizo nchi zingine ulizozitaja uchumi wake ni wa kuunga unga, kwahiyo hata raia wao ununuaji wao wa bidhaa kutoka China ni mdogo ukilinganisha na manunuzi yanayofanywa na raia wa nchi za Ulaya.

Fikiria toka Mmarekani na swahiba zake (NATO - ulaya) walipomwambia Mchina asipime kujaribu kumsaidia Mrusi maana atakutana na vikwazo ambayo itakuwa ngumu kuvikwepa, je ushamuona tena anajihusisha moja kwa moja na mzozo wa Ukraine zaidi ya kuongelea kwa mbali tu ili asikike. Watu wengi wakiwepo warusi wenyewe walitegemea labda mchina angekuwa nyuma yao katika vita ile. Ila mpaka leo kauchuna tu, anaogopa wakubwa hao wasije kumfanya akose hata hela ya kuwalipa watumishi wake wa serikali huko mbele. Mchina kashindwa hata na mu Iran ambae kwa ubabe wake ametuma ndege zisizo na ruban kumsaidia mrusi. Na pia Iran juzi wamemuazima mrusi satellite yao mpya kabisa ambayo haijawahi kutumiwa na nchi yoyote ile zaidi ya yenyewe Iran na swahiba wao mrusi.

Ila mchina ameshindwa kufanya lolote la maana kwa jirani yake huyo (mrusi) kwa lengo la kuogopa vikwazo. So unawezaje kusema kuwa eti hata wakiwekewa vikwazo watakuwa sawa tu?
Kaka Kwa mm navyoona Mchina ameogopa VIKWAZO ili gap kati yake na USA isiongezeke.
Ngojea nkutajie baadhi ya sancs ambazo USA alijaribu kuweka Kwa China na akashindwa;
1)kuiwekea vikwazo Huawei isitumie google lengo ni kuua soko la simu la China ila China alizi improve Oppo,Xiaomi na vivo na alikua na mpango wa kuanzisha OS yake USA wakamuondolea vikwazo,pia alizuia cheap skilled labors wa China kutengeneza iphone na soko la iphone China likawa doomed.
2)Kuweka ushuru mkubwa katika bidhaa za China ziingiazo USA,China nae aliongeza ushuru maradufu Kwa USA mnamo 2018 USA ikapunguza ushuru.
Pia alitishiwa kuwekewa vikwazo km atai contain south china sea kijeshi ila alifanya na USA wakashindwa kumuwekea vikwazo.

Kiufupi kaka China yenyewe Ina soko kubwa maana Ina raia takriban bilioni mbili.
Pili China soko lake kubwa ni maeneo ambayo population ya Dunia ndio imeelemea (Africa,Asia,South America) tukubali tukatae huko ndio population ya Dunia ilipoelemea na China ndio kakamata soko.
mwaka Jana walitoa ripoti bank ya China imekopesha takriban mataifa 128 km sijakosea ulimwenguni kote na pia ameyasamehe mataifa 38 madeni bro unapoweka vikwazo lazima na wa pembeni waitikie vikwazo.
China ni taifa muhimu sana ulimwenguni hakuna taifa au bara litakalokubali vikwazo dhidi ya China.
Mfano wa mwisho Von derleyen mwenyekiti wa EU alitoa wito alisema mzozo kati ya USA na China kuhusu Taiwan utatuliwe kidiplomasia maana hao watu wakiingizana kimabavu Dunia itaumia.
Hususan Asia na Afrika.
 
Mkuu narudia tena, pamoja na kwamba China ina ushawishi mkubwa kwa baadhi ya nchi za Asia, America ya kusini, Africa nk.
Lakini bado pato lake kubwa zaidi linategemea nchi za ulaya haswa haswa zile za West Europeans countries na Marekani. Hizo nchi zingine ulizozitaja uchumi wake ni wa kuunga unga, kwahiyo hata raia wao ununuaji wao wa bidhaa kutoka China ni mdogo ukilinganisha na manunuzi yanayofanywa na raia wa nchi za Ulaya.

Fikiria toka Mmarekani na swahiba zake (NATO - ulaya) walipomwambia Mchina asipime kujaribu kumsaidia Mrusi maana atakutana na vikwazo ambayo itakuwa ngumu kuvikwepa, je ushamuona tena anajihusisha moja kwa moja na mzozo wa Ukraine zaidi ya kuongelea kwa mbali tu ili asikike. Watu wengi wakiwepo warusi wenyewe walitegemea labda mchina angekuwa nyuma yao katika vita ile. Ila mpaka leo kauchuna tu, anaogopa wakubwa hao wasije kumfanya akose hata hela ya kuwalipa watumishi wake wa serikali huko mbele. Mchina kashindwa hata na mu Iran ambae kwa ubabe wake ametuma ndege zisizo na ruban kumsaidia mrusi. Na pia Iran juzi wamemuazima mrusi satellite yao mpya kabisa ambayo haijawahi kutumiwa na nchi yoyote ile zaidi ya yenyewe Iran na swahiba wao mrusi.

Ila mchina ameshindwa kufanya lolote la maana kwa jirani yake huyo (mrusi) kwa lengo la kuogopa vikwazo. So unawezaje kusema kuwa eti hata wakiwekewa vikwazo watakuwa sawa tu?
Sijasema watakua sawa kaka ila China haitaanguka kiwepesi hivyo.
Kuna mkutano huwaga nchi za Asian Pacific wanaufanyaga pale mjini Singapore rais wa Indonesia na Malaysia walisema China ni taifa muhimu ukanda ule na wao hawana shida Kwa chochote akifanyacho ht kijeshi maana ni mshirika wao mkubwa.
Asa waitikaji ktk vikwazo wako wali!?
Kumbuka China ana treasury bill zaidi ya trillion 3$ Kwa USA.
Nielekeze namna vikwazo vitakavyofanya kazi kaka Kwa China.
Ila China anaogopa kuingia vitani maana anajua gap ya economic growth kati yake na USA litaongezeka na anastahili kuogopa wala sio ujinga.
Iran pale hajali kitu maana Ile ni nchi ya wafia dini tofauti na ambitious nation km China.
 
Watu hawaelewi bwashee ,kwanza ukiwa vitani ni ngumu wawekezaji kuwekeza kwako kuhofia usalama,pia vita inaharibu diplomatic relationship, vita inatafuna bajet ya nchi,vita vinamaliza wanajeshi muhimu,vita vinaua biashara,yaan nikuambie tuu Russia anasababisha hasara kwa pande zote mbili,,ila navyoona Russia mda si mwing ataomba wayamalize mezan maana kama walimdindia kumwachia yule demu mcheza basketball kwa njia ya SWAP Jana naona Russia wamekubali yaishe.ngoja tuone maana sisikii tena Putin akileta mbwembwe
Eti walimdindia
Sasa kama walimdindia walifanya swap ya nini c wangeenda kumchukua mtu wao bila ya swap deal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ruble ndio best Performing unasema imeshuka thamani mzee. Revenue ya Mafuta Russia imepanda kutoka dola Bilioni 56 mpaka Bilioni 174 kutokea vita imeanza . Umeshiba maharage yako huko Kiembe samaki unakuja kutuambia thamani imeshuka wahed kabisa
 
Kule vyombo vya habari havipo huru, kwahiyo hata kama wamechoka hawana pa kuongelea hilo swala na wakasikilizwa. Ndio maana wengi wa walioletwa huku Afrika wameamua kujichimbia huku ili kukwepa aina ya siasa na mfumo wa maisha uliyopo nchini kwao. Wengi wanajuta kuumbwa wachina.
Havipo huru ila wewe umejua kama jamaa wameichoka sirikali yao
Wewe hizo taarifa umezipatia wapi au ulipita mioyoni mwao MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
In terms of military technology, Russia na China ni za kawaida tu. Na hii imekuja baada ya sote kushuhudia mbungi ya hapo Ukraine.

Tumeshaona namna mambo halivyobana kwa Russia, ametumia Hypersonic Missiles, Laser Weapons, Jets za kisasa n.k na bado vyote hivi havijaweza kufua dafu kama alivyotarajia.

Sasa je, China yeye tec yake itafua dafu huko Taiwan? Russia alitegemea huu mwiba angekaa nao kwa mwezi wa sita sasa? If hakutegemea, Je China ina uhakika gani wa kutumia muda mfupi wa vita hiyo akitaka kuanzisha?

Wakati vita vinaanza, China alitoa msaada kwa waathirika wa Ukraine. Huu ni usaliti mzito mno kwa best yake Russia. China leo akiingia Taiwan, Russia atamuunga mkono kinafki mno China kutokana na sababu mbili, moja ni ile ya yeye kuwa bado ana mwiba wake ambao ni Ukraine. Na mbili ni usaliti wa China kwa Russia.

Japan, India n.k nahisi wao watakuwa na hamu kubwa mno ya kutaka China aingie hapo Taiwan. Tukumbuke pia, endapo Taiwan ikamtikisa vyema China, kuna uwezekano maeneo mengine ya china yakataka kujitenga na China kama Hong Kong n.k

Wakati naandika hii comment kuna kitu hapa nakifkiria mkuu, hivi sio kwamba pengine CIA walipanga Russia apate vita yoyote ya kumsumbua ili ikitokea Vita ya China na Taiwan basi Russia asipate nguvu ya kumtetea China?
If alitegemea !!?
Nato wakampige RUSSIA atoke UKRAINE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Hong Kong ni sehemu ya China kama ilivyo Zanzibar ndan ya Tanzania, na viongozi wa jimbo hilo la Hong Kong wanaongozwa na wa serikali kuu ya China.
Lakini Taiwan ni nchi huru inayojitawala yenyewe, kwahiyo ni vitu viwili tofauti. Hata hivyo kama ulivyosema, China haiwezi kuingia mzima mzima maana hasara itakayopata ni kubwa kuliko faida.
Taiwan sio nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mchina akijipanga akaunga nguvu India population 1.2 b yeye Ana 1+ b akiunga na Africa mbona atauza tuu yey alianzishe tuuu
 
Back
Top Bottom