Hata yeye ni mkatoliki!Mollel atambue kwamba wakatoliki hatuyumbishwi tunaongozwa na kauli mbiu ya "Roma locuta causa finita"Rome has spoken the case is closed"
Kwa sababu wewe siyo mwanasayansi!Aibu naona mimi
Sidhani,kwa kuangalia jiografia alikotoka na kabila lake atakuwa Mlutheri.Majority ya watu wa Siha hasa Masai ni WalutheriHata yeye ni mkatoliki!
PumbuMjadala uko mubashara kupitia kipindi cha Ajenda kinachoongozwa na mtangazaji Aloyce Nyanda Star tv.
Naibu waziri wa afya Dr Mollel anajibu hoja zilizotolewa na Katibu mkuu wa Baraza la maaskofu wa Kanisa Katoliki Padre Dr Charles Kitima.
Dr Mollel anasema utabibu siyo sawa na fani ya sheria kwa sababu katika utabibu Ukweli unapatikana Maabara na siyo kwingineko.
Karibu.
Dr Mollel anasema ni kawaida kwa kipindi cha November hadi March kila mwaka wagonjwa wenye matatizo ya kupumua, pumu na nimonia kuongezeka hata wananchi wakiangalia takwimu watagundua hilo.
Mollel anadai Dr Kitima ameongea kama mwanasheria ndio maana hoja zake zimejaa kasoro nyingi sana lakini yeye anajaribu kumuelimisha kama mwanasayansi.
Mollel anasema takwimu za Fr Kitima za vifo vya mapadre 25 na watawa 60 havina uthibitisho wa kisayansi kwamba vilitokana na Corona. Mollel anadai hata vifo vya mwaka jana vingi vilitokana na maradhi mengine kama vile magonjwa ya moyo na waathirika kuogopa kwenda hospitali wakihofia Corona.
Mwisho waziri Mollel amewataka wananchi waendelee kujifukiza kwani dawa kama mkaratusi ni tiba nzuri.
Dr Mollel ameulizwa maswali mengi lakini mengine ameyajibu kisayansi, mengine kisiasa na wengine kiblia.
Kwa mfano Dr Mollel amesema Mungu alipomuumba binadamu alimuwekea dawa zote ( mitishamba) katika bustanu ya Eden.
Na baadae akampa mwanadamu sayansi kwa ajili ya kuitawala dunia.
Source Star tv
Maendeleo hayana vyama
Swala siyo Mtozi bali je hoja za Fr Kitima zimejibiwa?Kwa jinsi loyce nyanda (mtozi) alivyokua akimbana naibu waziri Kwa maswali,
nikajua muheshimiwa atakasirika na kumwambia "unajua unaongea na nani" alafu aache kipindi na kuondoka badala yake alikua ana punch maswali kisomi uku anaiba muda ili kipindi kiishe bila nyanda kujijua.
Hadi mwisho wa mchezo mtozi hakupata alichotaka kiende Kwa hadhira, anatazama saa yake dakika tisini za mchezo zimemalizike daktari 3 mtozi 0.
Game ilikua tamu sana
Matusi ya nini bwashee?Pumbu
May beSio wewe uko na majibu yako kichwani?
Kwenye nyungu kuna maabara!!!?Dr Mollel anasema utabibu siyo sawa na fani ya sheria kwa sababu katika utabibu Ukweli unapatikana Maabara na siyo kwingineko.
Yule aliyekuwa Waziri wa Afya nadhani alikuwa Mbunge wa Kigamboni akaondlewa uwaziri kwakuwa alikanusha kuwa kujivukiza hakujathibitika kisayansi kuwa kunatibu corona, huyu waziri wa leo anaikana sayansiMwisho waziri Mollel amewataka wananchi waendelee kujifukiza kwani dawa kama mkaratusi ni tiba nzuri.
Kamanda acha hizo, huyo ni kamanda mwenzetu kabisa ccm tumewaazimisha kwa muda kwa kuwa sisi chama chetu kimezorota 😂. Au umesahau kuwa alikuwa mmoja wa wapambanaji wetu mashuhuri?Huyu waziri hana hata sifa ya kuwa mwenyekiti wa kitongoji. Hajui kujibu maswali
Hahahaaaa...... Huyu ni daktari wa binadamu bwashee!
Kamanda acha hizo, huyo ni kamanda mwenzetu kabisa ccm tumewaazimisha kwa muda kwa kuwa sisi chama chetu kimezorota 😂. Au umesahau kuwa alikuwa mmoja wa wapambanaji wetu mashuhuri?
Bogus doctors.Mollel anadai Dr Kitima ameongea kama mwanasheria ndio maana hoja zake zimejaa kasoro nyingi sana lakini yeye anajaribu kumuelimisha kama mwanasayansi.
Ni nani mwenye wajibu wa kupima, Fr Kitima, au serikali?Mollel anasema takwimu za Fr Kitima za vifo vya mapadre 25 na watawa 60 havina uthibitisho wa kisayansi kwamba vilitokana na Corona.
Utafiti wa hii (sayansi) ulifanyika lini, wapi na nani?Mwisho waziri Mollel amewataka wananchi waendelee kujifukiza kwani dawa kama mkaratusi ni tiba nzuri.
Kwa kupandikizia kwa mpira, bila kupitishia huko kwenye ubikira..., au unasemaje mkuu 'dudus'? Inawezekana sana.Mfano wako kichekesho! Kwani wakijifungua kwa operesheni bikra zinakuwepo?