Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Njaa imemtawala kichwani kila akijibu swali anafikiria kutumbuliwa
.... CCM ni tatizo namba moja la nchi hii. Maisha ya uongo uongo ili waendelee kutawala! Viongozi wa dini msiposhtuka sasa basi tena.Naona ameulizwa swala la Takwimu juu ya swala la corona , Hataki kujibu swali na Badala yake anatoa mifano mingi, inabidi watangazaji wacheke
Anamjibu Padre Dkt. Kitima kama Kitima au Kanisa Katoliki kupitia TEC yao? PhD ya Dkt. Kitima haiwezi Kujibiwa Kipumbavu na Kishamba hivi kama afanyavyo huyu Msaidizi wenu wa Wizara kwa Maagizo ya Mteule wake anayetapatapa tu sasa.Mjadala uko mubashara kupitia kipindi cha Ajenda kinachoongozwa na mtangazaji Aloyce Nyanda Star tv.
Naibu waziri wa afya Dr Mollel anajibu hoja zilizotolewa na Katibu mkuu wa Baraza la maaskofu wa Kanisa Katoliki Padre Dr Charles Kitima.
Dr Mollel anasema utabibu siyo sawa na fani ya sheria kwa sababu katika utabibu Ukweli unapatikana Maabara na siyo kwingineko.
Karibu.
Updates;
Mfano wako kichekesho! Kwani wakijifungua kwa operesheni bikra zinakuwepo? Mimba iliingiaje? Anyway, hiyo ni nje ya mada. Hoja ya msingi tumepatikana; tuna la kujifunza kuanzia hao viongozi wa dini.Kumuuliza Mollel(sijaandika Dr. kwasababu wamekana taaluma zao) atoe takwimu za Covid ni sawa na kutafuta bikira kwenye wodi ya Wazazi waliojifungua bila operesheni.
Nitaenda kwa mganga wa kienyeji kuliko kutibiwa na kilaza kama huyu.Ni Daktari wa Meno
Huyu waziri hana hata sifa ya kuwa mwenyekiti wa kitongoji. Hajui kujibu maswali
Ahaaaa 🤣🤣🤣 JF safi sana,kisima cha burudani!!Huyo waziri ana kichwa cha kisanii, angekuwa muigizaji angepata pesa sana.
Anatumia nguvu nyingi sana kutetea ujinga wake!Mjadala uko mubashara kupitia kipindi cha Ajenda kinachoongozwa na mtangazaji Aloyce Nyanda Star tv.
Naibu waziri wa afya Dr Mollel anajibu hoja zilizotolewa na Katibu mkuu wa Baraza la maaskofu wa Kanisa Katoliki Padre Dr Charles Kitima.
Dr Mollel anasema utabibu siyo sawa na fani ya sheria kwa sababu katika utabibu Ukweli unapatikana Maabara na siyo kwingineko.
Karibu.
Updates;
Alikuwa anaongea kwa niaba ya serikali, jaribu kumpa heshima yake!Anatumia nguvu nyingi sana kutetea ujinga wake!
Mjadala uko mubashara kupitia kipindi cha Ajenda kinachoongozwa na mtangazaji Aloyce Nyanda Star tv.
Naibu waziri wa afya Dr Mollel anajibu hoja zilizotolewa na Katibu mkuu wa Baraza la maaskofu wa Kanisa Katoliki Padre Dr Charles Kitima.
Dr Mollel anasema utabibu siyo sawa na fani ya sheria kwa sababu katika utabibu Ukweli unapatikana Maabara na siyo kwingineko.
Karibu.
Updates;
Eti nini, maabara?Mjadala uko mubashara kupitia kipindi cha Ajenda kinachoongozwa na mtangazaji Aloyce Nyanda Star tv.
Naibu waziri wa afya Dr Mollel anajibu hoja zilizotolewa na Katibu mkuu wa Baraza la maaskofu wa Kanisa Katoliki Padre Dr Charles Kitima.
Dr Mollel anasema utabibu siyo sawa na fani ya sheria kwa sababu katika utabibu Ukweli unapatikana Maabara na siyo kwingineko.
Karibu.
Dr Mollel anasema ni kawaida kwa kipindi cha November hadi March kila mwaka wagonjwa wenye matatizo ya kupumua, pumu na nimonia kuongezeka hata wananchi wakiangalia takwimu watagundua hilo.
Mollel anadai Dr Kitima ameongea kama mwanasheria ndio maana hoja zake zimejaa kasoro nyingi sana lakini yeye anajaribu kumuelimisha kama mwanasayansi.
Mollel anasema takwimu za Fr Kitima za vifo vya mapadre 25 na watawa 60 havina uthibitisho wa kisayansi kwamba vilitokana na Corona. Mollel anadai hata vifo vya mwaka jana vingi vilitokana na maradhi mengine kama vile magonjwa ya moyo na waathirika kuogopa kwenda hospitali wakihofia Corona.
Mwisho waziri Mollel amewataka wananchi waendelee kujifukiza kwani dawa kama mkaratusi ni tiba nzuri.
Dr Mollel ameulizwa maswali mengi lakini mengine ameyajibu kisayansi, mengine kisiasa na wengine kiblia.
Kwa mfano Dr Mollel amesema Mungu alipomuumba binadamu alimuwekea dawa zote ( mitishamba) katika bustanu ya Eden.
Na baadae akampa mwanadamu sayansi kwa ajili ya kuitawala dunia.
Source Star tv
Maendeleo hayana vyama
mungu yupi sasa aisee,Kazi imeanza, wamejipanga kumtukana fr, Dr Kitima kwa kusema ukweli, ili kumfuraisha Jiwe maana kachukia sana ile taarifa.
M/Mungu akulinde fr, Dr Kitima
Lala weweeMjadala uko mubashara kupitia kipindi cha Ajenda kinachoongozwa na mtangazaji Aloyce Nyanda Star tv.
Naibu waziri wa afya Dr Mollel anajibu hoja zilizotolewa na Katibu mkuu wa Baraza la maaskofu wa Kanisa Katoliki Padre Dr Charles Kitima.
Dr Mollel anasema utabibu siyo sawa na fani ya sheria kwa sababu katika utabibu Ukweli unapatikana Maabara na siyo kwingineko.
Karibu.
Dr Mollel anasema ni kawaida kwa kipindi cha November hadi March kila mwaka wagonjwa wenye matatizo ya kupumua, pumu na nimonia kuongezeka hata wananchi wakiangalia takwimu watagundua hilo.
Mollel anadai Dr Kitima ameongea kama mwanasheria ndio maana hoja zake zimejaa kasoro nyingi sana lakini yeye anajaribu kumuelimisha kama mwanasayansi.
Mollel anasema takwimu za Fr Kitima za vifo vya mapadre 25 na watawa 60 havina uthibitisho wa kisayansi kwamba vilitokana na Corona. Mollel anadai hata vifo vya mwaka jana vingi vilitokana na maradhi mengine kama vile magonjwa ya moyo na waathirika kuogopa kwenda hospitali wakihofia Corona.
Mwisho waziri Mollel amewataka wananchi waendelee kujifukiza kwani dawa kama mkaratusi ni tiba nzuri.
Dr Mollel ameulizwa maswali mengi lakini mengine ameyajibu kisayansi, mengine kisiasa na wengine kiblia.
Kwa mfano Dr Mollel amesema Mungu alipomuumba binadamu alimuwekea dawa zote ( mitishamba) katika bustanu ya Eden.
Na baadae akampa mwanadamu sayansi kwa ajili ya kuitawala dunia.
Source Star tv
Maendeleo hayana vyama
Mwongozo wa wizara ya afya utatoka hivi karibuni!Eti nini, maabara?
Toka mach mwaka jana hiyo maabara ya danganyika ina takwimu zipi kuhusu korona?
Kweli hii serikali ya awamu ya tatu taifa limeingia chaka.
Hizi comments za miti nazipendaga sanaMfano wako kichekesho! Kwani wakijifungua kwa operesheni bikra zinakuwepo? Mimba iliingiaje? Anyway, hiyo ni nje ya mada. Hoja ya msingi tumepatikana; tuna la kujifunza kuanzia hao viongozi wa dini.
Kulala lala ni dalili ya umaskini bwashee!Lala wewee
Ila wewe jamaa siyo tena adui yangu. Nitakufuatilia tu unapoishi sijui Boko sijui Bunju nijue trye identity yakoKulala lala ni dalili ya umaskini bwashee!