ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,310
- 4,040
Duh!Pole zao aisee!Mungu awasaidie wapone haraka!
Nini sababu ya ajali?
Nyani Ngabu, ni afadhali ungeuliza kwa ki-english ambacho umekizowea (Hongera kwa hilo). Nina hakika ungeandika kitu sahihi kabisa. Unachotaka kujua ni chanzo cha ajali na sio sababu ya ajali. Umefanya direct translation. Tumekuelewa lakini.
Natoa pole kwa Naibu Waziri na namwombea dereva apone haraka.
Just curious, ni mbunge wa wapi huyu ?
Mungu hamjalie kupona haraka.
Nini sababu ya ajali?
gari iliisha mafuta
Unaweza kabisa kuuliza nini kimesababisha hiyo ajali (ambayo ndiyo sababu) na ukiuliza pia nini chanzo cha ajali nayo ni sawa pia. Katika lugha mara nyingi huwa hakuna njia au namna moja tu ya kuuliza ama kuunda sentensi. Kama umesoma isimu matumizi na isimu elekezi utakuwa unalitambua hilo.
Apone haraka waziri wa jk na dereva wake
gari iliisha mafuta
Nadhani tatizo langu litakuwa hapo kwenye red. Asante kwa ufafanuzi. Barikiwa!