Naibu Waziri apata ajali mbaya

Wana JF kwenye mambo ya huzuni kama ajali na vifo tuweke itikadi za siasa pembeni,kwani ajali haina chama wala jinsia.Tuepuke lugha za kebehi kumbuka hata wewe inaweza kukutokea ukiwa umepanda boda boda,baiskeli hata daladala haijalishi.
 
Mbona hamna ajali ni bust tu ilitokea gari ikaacha njia na kugonga mpapai
 
picha hiyo.......
 

Attachments

  • IMG-20120807-00098.jpg
    IMG-20120807-00098.jpg
    32.1 KB · Views: 48
Nilikuwa sijui yeye ni Naibu Waziri. In fact nabisha kwamba yeye ni naibu waziri. How could I have missed it.? [Au labda kwa vile alikuwa too busy anafanya ufisadi katika bodi ya korosho,hakusikika kama naibu waziri]
 
kwani alikopa ama anadaiwa?

Yeye na serikali yake, wanawakopa wamama wanaokufa wakiwa wanajifungua kwa kukosa huduma za afya kwakuwa pesa ambazo zingenunua madawa na kuwalipa magyno zinanunua hayo maV8; wamewakopa watoto wanaokufa kwa kuharisha kwa kukosa maji safi na salama hata ORS hospitalini!
 
wakati wa ajali inatokea nyuma kulikuwa na gari ya waziri wa mambo ya nje mhebMembe na ndio alitoa msaada wa kusaidia kuokoa majeruhi na mali kwenye gari.
Mhe naibu waziri yupo salama....ni dereva wake alieumia vibaya kichwani.
Sasa dereva anapelekwa muhimbili kutoka tumbi.
 
Back
Top Bottom