MZEE WA ROCK
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 622
- 152
Haya mashangingi ya v8 wanayonunua kwa kudhurumu watanzania itakuwa
sara zimefika kwa Mungu :A S 101:
alikua anatoka wapi wkt alitakiwa awe bungeni dodoma? sala zetu zinaanza kujibu
Haya mashangingi ya v8 wanayonunua kwa kudhurumu watanzania itakuwa
sara zimefika kwa Mungu :A S 101:
inawezekana mkuu! Mungu anajua kila ki2 cha haki na dhuluma. Paytime. Let them face what they dizavu.(kwensekwensi)haya mashangingi ya v8 wanayonunua kwa kudhurumu watanzania itakuwa
sara zimefika kwa mungu
Malipo ni hapa hapa!
Nini sababu ya ajali?
isije ikawa free mason wanataka kumtoa mtu kafara maana mhh
kwani alikopa ama anadaiwa?
Alichoandika hakipo katika luigha ya kiswahili....... hivyo nimeona nimsahihishe mkuu...hakuandika hivyo, kwa hiyo haiwezi kusomeka unavyotaka mkuu...