Naibu Waziri apata ajali mbaya

Naibu Waziri apata ajali mbaya

Pole Mh. NW tunamuombea dereva wako apone, Ila na wewe usisahau kwenda India kuangalia madhara ya mwili wako katika hiyo ajali
 
Pole zao, mwenyezi mungu awarudishie uzima na nguvu za kuendelea na shughuli zao za kila siku.

Vipi; Tumbi madakatari hawakufukuzwa?
 
wakati wa ajali inatokea nyuma kulikuwa na gari ya waziri wa mambo ya nje mhebMembe na ndio alitoa msaada wa kusaidia kuokoa majeruhi na mali kwenye gari.Mhe naibu waziri yupo salama....ni dereva wake alieumia vibaya kichwani.Sasa dereva anapelekwa muhimbili kutoka tumbi.
Tumbi hakuna x-ray hii nchi tunatia aibu sana...sijui vipaumbele vyetu ni vipi kama tunashindwa kuwekeza kwenye afya za walipa kodi
 

Anaitwa Abdullah Juma Abdalla Saddallah na familia yake kupata ajali mbaya eneo la Tumbi Kibaha wakati akitoka Bungeni na familia yake.

Ajali hiyo mbaya ilitokea majira ya jioni hii wakati naibu waziri huyo akitokea Bungeni kuelekea jijini D'salaam akiwa na mkewe pamoja na watoto wake wawili na a dereva wake ambaye aliumia vibaya na kukimbizwa hospital yaTumbi-KibahaMashuhuda wa ajali hiyo akiwemno Abdulaziz Video amedai kuwa chanzo cha ajali hiyo inasemekana alikuwa analikwepa Lori alilokuwa akipishana nalo na hivyo gari lake kuhama njia na kupinduka .

Imeelezwa baada ya ajali hiyo umati wa wananchi wakiwemo vibaka walifika eneo hilo kutaka kupora mali mbali mbali ila hawakuweza kufanikiwa baada ya raia wema kusaidia kuepusha hali hiyo .Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani Taifa Mohamed Mpinda alithibitisha kutokea kwa ajali hiyo baada ya kuhojia na mwandishi wa habari hizi na kuwa hali ya naibu waziri huyo si mbaya sana zaidi ya dereva wake ambaye ameumia kichwani.
 

Anaitwa Abdullah Juma Abdalla Saddallah na familia yake kupata ajali mbaya eneo la Tumbi Kibaha wakati akitoka Bungeni na familia yake.

Ajali hiyo mbaya ilitokea majira ya jioni hii wakati naibu waziri huyo akitokea Bungeni kuelekea jijini D'salaam akiwa na mkewe pamoja na watoto wake wawili na a dereva wake ambaye aliumia vibaya na kukimbizwa hospital yaTumbi-KibahaMashuhuda wa ajali hiyo akiwemno Abdulaziz Video amedai kuwa chanzo cha ajali hiyo inasemekana alikuwa analikwepa Lori alilokuwa akipishana nalo na hivyo gari lake kuhama njia na kupinduka .

Imeelezwa baada ya ajali hiyo umati wa wananchi wakiwemo vibaka walifika eneo hilo kutaka kupora mali mbali mbali ila hawakuweza kufanikiwa baada ya raia wema kusaidia kuepusha hali hiyo .Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani Taifa Mohamed Mpinda alithibitisha kutokea kwa ajali hiyo baada ya kuhojia na mwandishi wa habari hizi na kuwa hali ya naibu waziri huyo si mbaya sana zaidi ya dereva wake ambaye ameumia kichwani.". Chanzo: Francis Godwinblog.
REPEAT - INVISIBLE kaisha weke hii habari toka mapema sana asubuhi
 
Poleni sana Mheshimiwa na familia yako!! Mpone haraka na kuendelea na shughuli za ujenzi wa taifa!!
 
mungu ni mwingi wa huruma na neema atawaponya amina.

mh chepii, the same govt wanenunua magari ya 200 million for just one person while wamama wanakosa ambulance eti wanawapa bajaj as ambulance.. Let them suffer too
 
tumbi hakuna x-ray hii nchi tunatia aibu sana...sijui vipaumbele vyetu ni vipi kama tunashindwa kuwekeza kwenye afya za walipa kodi

ina maana drivers walikuwa wanaoneshana who is best.. Olyimpic iko uk kwa elizabet
 
NAIBU%2B3.JPG

Namuona mmoja wa wasaidizi wa Waziri Membe akiwa ndani ya gari akisaidia kuokoa watu wakati wa ajali. Taarifa rasmi ni kwamba Naibu Waziri ni mzima kabisa na hajaumia hata kidogo na kwamba damu iliyokua kichwani ilikua ya dereva wake ambaye hadi usiku alikua anaendelea na matibabu Muhimbili kwa kushonwa nyuzi kichwani na alikua na fahamu zake akielezea tukio zima la ajali ile.
 
Kujenga au kulitafuna? kuna nini unachosema eti waendelee kulijenga taifa letu

Ujenzi wa taifa gan? mbona mnanichanganya?
Mkuu ukifikiria sana kihivyo utakuwa stressed bure na kujikuta unaongea peke yako barabara! Just smile n walk away huku ukitafuta mbinu ya kuwatoa hawa wakoloni weusi. Mhe kapata ajali, tumtakie kheri ya kupona haraka ili ashuhudie mabadiliko yanayokuja.
 
Inaweza ikawa Imesababishwa na Matuta!! Just Naimagine!! Ni Muhimu Magufulu ajue Matuta ni Chanzo Kikubwa cha ajali eneo Hilo!!!
 
Mkuu ukifikiria sana kihivyo utakuwa stressed bure na kujikuta unaongea peke yako barabara! Just smile n walk away huku ukitafuta mbinu ya kuwatoa hawa wakoloni weusi. Mhe kapata ajali, tumtakie kheri ya kupona haraka ili ashuhudie mabadiliko yanayokuja.

hakuna kutakiana kheri na watafunaji wa mali za masikini kama mimi...
 
Back
Top Bottom