Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Siku chache zilizopita, Naibu Spika, Tulia alisiika akisema Bunge halina taarifa rasimi ya wanaoitwa Wabunge wa CHADEMA kuvuliwa uanachama, akimanisha wao kama Bunge hawajapata barua kutoka kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA ya kuwavua uanachama.
Sasa kauli tata ya Spika ya leo ya kutaka vithibitisho kuwa CHADEMA walifuata taratibu za kuwavua uanachama si ni uthibitisho kuwa ofisi ya Spika ilipokea barua kutoka CHADEMA?
Ama kweli njia ya muongo ni fupi!
Sasa kauli tata ya Spika ya leo ya kutaka vithibitisho kuwa CHADEMA walifuata taratibu za kuwavua uanachama si ni uthibitisho kuwa ofisi ya Spika ilipokea barua kutoka CHADEMA?
Ama kweli njia ya muongo ni fupi!