Jerry Ekky
JF-Expert Member
- May 6, 2018
- 1,682
- 5,056
Kwani we ujuavyo barua hiyo huambatana na vitu gani?Kabla ya hii barua ya kufutwa uanachama kwa hawa 19, ambayo speaker anasema haina vithibitisho, je uthibitisho wa kuteuliwa kwao hao Covid 19 ulikua na "vithibitisho" ambavyo bunge na tume ya uchaguzi waliridhika? Tuanzie hapo kwanza.
Pia kuna pingamizi lolote lilitolewa hawa 19 kutokuapishwa?