johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA mh Benson Kigaila amesema amekabidhi barua ya kuwavua uanachama Halima Mdee na wenzake kwa Spika wa Bunge leo saa 2:42 asubuhi
Barua amekabidhiwa Katibu muhtasi wa Spika kea dispatch
Source: ITV
Barua amekabidhiwa Katibu muhtasi wa Spika kea dispatch
Source: ITV