masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 15,679
- 12,364
- Thread starter
- #81
Huwa najaribu kufikiri huwa unafikiri nini juu ya mada zako!
Unataka ushuhuda?
Unataka ushahidi?
nataka ushuhuda
Huwa najaribu kufikiri huwa unafikiri nini juu ya mada zako!
Unataka ushuhuda?
Unataka ushahidi?
Yessir! That's Biggie's. Manipulated it a bit to make it fit into my context, Fid-Q's style.
gemu gumu sana bongo acha kuimba hipop
njoo tubane pua
Nadhani hizi ni story za kuanzia utoton kwani nakumbuka zamani tulikuwa tunaamini ukipaka majimaji ya lile tunda liliokuwa na tumika kama dodoki...Basi kitu kitakuwa ukubwa huo...Jamaa angu mmoja ye akajitosa akapaka kumbe yale maji maji ya lile dodoki yasumu flani jamaa alivimba kitu kama vile kang'atwa na nyuki hiyo balaa ilienda ishia hospitali....
mi shabk wa rihannaHahaha mi sio Rapa wala siimbi, shabiki tu.
ni masai....teh teh usi imagne
ahahaaaa
mdau umenikumbusha mbali
sana
bila shaka tunda
lenyewe ni hili hapa
KUNA MTI WA ASILI UNAITWA AFRICAN SAUSAGE TREE KWA KISWAHILI NI MDODOKI (scientific name yake ni kigelia africana) matunda yake yanafanya kazi nzuri sana kwa wenye vibamia, IKISHINDIKANA APIGE PU MBU SANA KWA KUTUMIA ILE LAW OF USE AND DISUSE (The more you use the more it develop)oaoa
Paulo Sergio De Souz umenikumbusha yule jamaa wa FORTAREZAMada zako ni utata tu siku zote.
Anyway mi mwenyewe ni shahidi, uki-shave size inaongezeka.
mi shabk wa rihanna
nisaidie nipate huu wimb
bitch better have my money
Paulo Sergio De Souz umenikumbusha yule jamaa wa FORTAREZA
Kama kuna mtu alishawahi kuongeza uume au kudhibitisha kwa rafiki au mume wake kwamba umeongezeka kwa njia hizi sijui dawa za Kimasai, handsomeup device na lolote lile na kwamba kwa sasa anafanya kazi vizuri kabisa.
ok sawamasai dada subiri nakutumia picha
Yessir! That's Biggie's. Manipulated it a bit to make it fit into my context, Fid-Q's style.
The Smilling Gold-digger, sio?
Ndio huyo huyo
mpaka sasa ni mkubwa? ila tatizo umepata lingneMmi binafsi nishawai kufanya mchakato wa kuongeza maumbile na nmefanikiwa sana
Sema ttzo kuna kipindi inasumbua sana mashine kipnd cha kusimamisha unakua na nguvu ndogo sna tofauti na mwanzo
Felt like I heard it before!