KASULI
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 599
- 669
Wanajamvi nimekuwa napita pita kwenye mitandao na mara nyingi unakutana na dawa za kurefusha uume, na kuna wakati uwa unaona watu wametoa ushuhuda kwamba ni kweli uume umerefuka.
Kati ya vitu sijawahi kuviamini ni haya madawa ya kurefusha au kuongeza unene wa uume, uwa naona kama ni kitu ambacho hakipo kabisa, mechanism yake naona kama imekaa kizushi sana, yaani mwanaume ambae ana 40yrs kwa mfano anawezaje kufanya kuongeza kiungo chake kwa urefu au upana? Wakati katika umri huu asilimia 99 ya viungo vya mwili wake vinakuwa havikui tena?
Madawa haya huwa nayahusisha au kuyaona sawa na dawa za kuotesha nywele kwenye upaa, naona kama hivi vitu angalau vinahitajii plastic surgery lakini dawa za kupaka mhuu!
Sasa ikabidi nije kuuliza humu jamvini ni kweli hizi dawa zipo? Maana dunia hatuchoki kujifunza. Pengine mimi nina imani haba tu ila dawa zipo kweli. Je, Ni zipo ni halisi na zinapatikana wapi. Nani ana ushuuda kuwa ameitumia na imetoa matokeo chanya ila na wengine watumie.
Naomba Kuwasilisha
Kati ya vitu sijawahi kuviamini ni haya madawa ya kurefusha au kuongeza unene wa uume, uwa naona kama ni kitu ambacho hakipo kabisa, mechanism yake naona kama imekaa kizushi sana, yaani mwanaume ambae ana 40yrs kwa mfano anawezaje kufanya kuongeza kiungo chake kwa urefu au upana? Wakati katika umri huu asilimia 99 ya viungo vya mwili wake vinakuwa havikui tena?
Madawa haya huwa nayahusisha au kuyaona sawa na dawa za kuotesha nywele kwenye upaa, naona kama hivi vitu angalau vinahitajii plastic surgery lakini dawa za kupaka mhuu!
Sasa ikabidi nije kuuliza humu jamvini ni kweli hizi dawa zipo? Maana dunia hatuchoki kujifunza. Pengine mimi nina imani haba tu ila dawa zipo kweli. Je, Ni zipo ni halisi na zinapatikana wapi. Nani ana ushuuda kuwa ameitumia na imetoa matokeo chanya ila na wengine watumie.
Naomba Kuwasilisha