Unataka kula mzigo siku 2 mfululizo Askari bila kushusha zana? Dawa ya pharmacy ambayo wengi hawajaifahamu ipo

De Professor

JF-Expert Member
May 21, 2021
206
395
Kwa muda mrefu nimekua nikipita sehemu nyingi kila mtu anasema lake juu ya ingredients za kuboost wanaume kuhusu swala la kitandani.
Hii imepelekea wengi kutapeliwa na wengine kulishwa na kunyweshwa vitu vya ajabu ajabu na visivtokua na matokea mazuri mwisho wa siku unapoteza pesa na hata kupata fedheha huko ulikopania kuweka heshima.

Ngoja niseme ukweli na ufumbuzi.
Dawa ya kwanza inayoweza kukupa nguvu kama kidume kwanza hakikisha ubongo wako na akili yako ipo relaxed yani usiwazie sana tendo na kulikamia pia usiweke woga kwamba nitafanyaje au nutaweza kweli.
usichokijua kuhusu uume na ipo hivi, ubongo wa mwanadamu huchangia sana kufanya uume usimame kwasababu unapoona huu ni wakati wa tendo au huyu mtu yupo kwenye hali ya msisimko kingono ubongo hupeleka taarifa kwenye moyo ndipo moyo huanza ku pump damu kwa wingi na haraka kuruhusu ipelekwe kwa wingi kwenye mshipa wa uume.
Hiii sasa ndiomaana utaona mwanaume akiwa kadindisha mapigo yake ya moyo pia huwa yanabadilika ila hata dudu huwa inakua na joto zaidi ya mwanzo...kinadada wanafahamu ikiwa umewahi kuulizwa ilipoingia "mbona nanii yako ya moto sana"

Baada ya ubongo kua ni kila kitu...mengine yanayofata ni ziada hapo sasa ndio unakuta unywaji wa maji mengi kabla ya tendo ni njia bora ya maandalizi...na vingine vingi watu husema.

Je zipo Dawa za kuongeza au kumfanya Mwanaume awe strong zaidi kitandani ?
Jibu ni NDIYO
Ipo baadhi ya miziz na majani ambayo makabila ya zamani wazee wao walikua wakiwafundisha vijana wao na hata wanaume wa jamii hiyo kutumia na ikawa ni imara kabisa..kwasasa mpaka upate mtu sahihi mwenye kuujua kweli mti au mzizi huo vinginevyo utaibiwa.

Vipi kuhusu vumbi ka Kongo:- Binafsi sikushuri ujaribu wala kutumia kwasababu usichokijua kuhusu vumbi la kongo ile yenyewe achana na unga unga fake wanaopewa watu, vumbi la kongo linaweza badala ya kutatua tatizo ndio likazidisha hasaa yani hata uume kusimama usisimame kivipi?
Vumbi la kongo linafanya kichwa cha dudu kufa ganzi..hivyo utashiriki tendo musa wote ila husikii utamu zaidi ya kuona ukichomeka na kuchomoa kwa mwenzako pasipo hisia kimsingi unaweza kudumu ila usimlidhishe zaidi ya kumuumiza mwenzako maana atakua kama amebakwa tu hivyo hata wakat mwingine unaweza usipewe.
Pia kuna wenye shida za mishipa yao ya uume kuwa lege lege huyu sasa akipaka vumbi la kongo ndio anajiua kabisa maana dudu haitasimama kabisa why sababu atakua hahisi chochote uume umekufa ganzi..sasa ukichangia na ile mishipa haina nguvu na hapo hapo dudu ina ganzi basi utajikuta uume hauinuki na ukaumbuka zaidi.

Dawa za Pharmacy zipo?
Ndio, kuna baadhi ya Dawa za Pharmacy ambazo zinatambulika kimataifa kuwa na uwezo mzuri kusaidia ila si kutibu?a mara nyingi kwa tatizo la nguvu za kiume tiba ni nadra sana kwa dawa za Pharmacy ila ku boost ili ufanye kazi unapata.
Dawa maarufu Viagra hii tumeaNa kuisikia toka enzi huenda ni nzuri ila kasoro yake ukiisha itumia usipopata tendo inaweza kuwa hatar kwako maana uume utakua dede muda wote, pia ukizidisha kiwango sahihi madhara yake ni hatar sana na ni hapo hapo. Na ikiwa una maladhi ya kisukari..pressure na mengine yasiyofaa athari hake hata kupoteza maisha tumesikia watu wengi hasa wazee wanaotumia badae chumbani mambo hugeuka na kusikia vifo kadha wa kadha.

Dawa nayoifahamu
Kuna siku katika utafiti wangu nalikutana na mtu mmoja wa asili ya Asia katika kuongea alikua na packti flani akameza kidonge kimoja nilipodadisi akanambia masaa 2 hajayo atakutana na mpenzi wake flani wa asili ya kiafrika (mbongo) hivyo anajua hasa weusi huwa wanamanjonjo sana na wapo strong hivyo huwa anapenda kuji bust ili asiishie njian.
Nilikua suprised ila kwa utafiti zaidi nikaona hapana wacha nitest mitambo pia, nakili nilijaribu na masaa 2 baada ya kukitumia nilijisikia kawaida tu kwa maelekezo ya kidonge unaweza shiriki tenda ukimeza kidonge baada ya saa 1 au 2, lakini hata usiposhiriki haina madhara wala uume hausimami mpaka utakapokua sex stimulated.

Baada ya muda nakumbuka kesho yake nilikaa hotelini na mpendwa wangu kuanua asubuhi mpaka jioni ya saa 2 usiku, sikumbuki idadi ya Gori ila tulikua na kazi ya kula chakula..maongezi kidogo tendo..maongezi kidogo tendo kwa siku 2 mfululizo.
Japo maelekezo ya kitaalamu yanasema ile dawa hukaa kwa masaa 36 nadhani nikweli maana hata kesho yake ilikua nikitaka tendo bado ningeweza tena kama sikufanya kabisa.

Najua kuna baadhi watakao soma uzi huu huenda wakahisi natangaza kujipatia wateja au kutangaza soko, Ama pengine mwingine ataenda mbali zaidi na kusema natengeneza scenario ya kupiga watu pesa.
Sina nia hiyo ila nimejisikia tu kulizungumzia maana ni kitu nacjokifahamu na humu ni sehemu ya kuelezea idea mbali mbali.

Hivyo vidonge Pharmacy zote kubwa wanavyo vinakua vya 5g, 10g na 15g
Jina lake linaanzia na herufi " S " na kuishia na " L "
maduka mengi huuza Tsh elfu 8- 10,000/= kulingana na ulipo.
Iki uliwahi kuvisikia nikweli hivyo ni habari nyingine.
Vilitengenezwa maalumu kwa watu wenye shida ya hormone chache za sex au waliopoteza hisia.
Hakikisha huna magonjwa ya pressure wala kisukari.

Nini nilikielewa hiki..ukiisha kitumia hata mdada akila nauli yako hupati pressure ya mnara kushindwa kulala maana kwanza hautakua umeinuka mpaka tu pale uwe stimulated wakat wa maandalizi.

Ushauri: kunywa maji sana...kula vizuri..kuwa mind free ukiwa na miadi ya yendo usipanik wala kuwaza ntaweza au lah hakunaga upungufu wa nguvu za kiume.
Ila kwa special case wazee wa kuonesha umwamba, ama ndo penzi jipya kumkoleza shangazi haya mara moja moja mtishe kwa hiyo.

Sijaiweka public kulinda kutangaza biashara..pia kutoa taharuki nime share idea nikijuacho.
Ukinifata nikuelekeze jina lote au hata kukutafutie lazima nitakucharge pesa ya usumbufu hilo ujiandae hahah.
Kazi kwenu wakurungwa.
 
Kwa muda mrefu nimekua nikipita sehemu nyingi kila mtu anasema lake juu ya ingredients za kuboost wanaume kuhusu swala la kitandani.
Hii imepelekea wengi kutapeliwa na wengine kulishwa na kunyweshwa vitu vya ajabu ajabu na visivtokua na matokea mazuri mwisho wa siku unapoteza pesa na hata kupata fedheha huko ulikopania kuweka heshima.

Ngoja niseme ukweli na ufumbuzi.
Dawa ya kwanza inayoweza kukupa nguvu kama kidume kwanza hakikisha ubongo wako na akili yako ipo relaxed yani usiwazie sana tendo na kulikamia pia usiweke woga kwamba nitafanyaje au nutaweza kweli.
usichokijua kuhusu uume na ipo hivi, ubongo wa mwanadamu huchangia sana kufanya uume usimame kwasababu unapoona huu ni wakati wa tendo au huyu mtu yupo kwenye hali ya msisimko kingono ubongo hupeleka taarifa kwenye moyo ndipo moyo huanza ku pump damu kwa wingi na haraka kuruhusu ipelekwe kwa wingi kwenye mshipa wa uume.
Hiii sasa ndiomaana utaona mwanaume akiwa kadindisha mapigo yake ya moyo pia huwa yanabadilika ila hata dudu huwa inakua na joto zaidi ya mwanzo...kinadada wanafahamu ikiwa umewahi kuulizwa ilipoingia "mbona nanii yako ya moto sana"

Baada ya ubongo kua ni kila kitu...mengine yanayofata ni ziada hapo sasa ndio unakuta unywaji wa maji mengi kabla ya tendo ni njia bora ya maandalizi...na vingine vingi watu husema.

Je zipo Dawa za kuongeza au kumfanya Mwanaume awe strong zaidi kitandani ?
Jibu ni NDIYO
Ipo baadhi ya miziz na majani ambayo makabila ya zamani wazee wao walikua wakiwafundisha vijana wao na hata wanaume wa jamii hiyo kutumia na ikawa ni imara kabisa..kwasasa mpaka upate mtu sahihi mwenye kuujua kweli mti au mzizi huo vinginevyo utaibiwa.

Vipi kuhusu vumbi ka Kongo:- Binafsi sikushuri ujaribu wala kutumia kwasababu usichokijua kuhusu vumbi la kongo ile yenyewe achana na unga unga fake wanaopewa watu, vumbi la kongo linaweza badala ya kutatua tatizo ndio likazidisha hasaa yani hata uume kusimama usisimame kivipi?
Vumbi la kongo linafanya kichwa cha dudu kufa ganzi..hivyo utashiriki tendo musa wote ila husikii utamu zaidi ya kuona ukichomeka na kuchomoa kwa mwenzako pasipo hisia kimsingi unaweza kudumu ila usimlidhishe zaidi ya kumuumiza mwenzako maana atakua kama amebakwa tu hivyo hata wakat mwingine unaweza usipewe.
Pia kuna wenye shida za mishipa yao ya uume kuwa lege lege huyu sasa akipaka vumbi la kongo ndio anajiua kabisa maana dudu haitasimama kabisa why sababu atakua hahisi chochote uume umekufa ganzi..sasa ukichangia na ile mishipa haina nguvu na hapo hapo dudu ina ganzi basi utajikuta uume hauinuki na ukaumbuka zaidi.

Dawa za Pharmacy zipo?
Ndio, kuna baadhi ya Dawa za Pharmacy ambazo zinatambulika kimataifa kuwa na uwezo mzuri kusaidia ila si kutibu?a mara nyingi kwa tatizo la nguvu za kiume tiba ni nadra sana kwa dawa za Pharmacy ila ku boost ili ufanye kazi unapata.
Dawa maarufu Viagra hii tumeaNa kuisikia toka enzi huenda ni nzuri ila kasoro yake ukiisha itumia usipopata tendo inaweza kuwa hatar kwako maana uume utakua dede muda wote, pia ukizidisha kiwango sahihi madhara yake ni hatar sana na ni hapo hapo. Na ikiwa una maladhi ya kisukari..pressure na mengine yasiyofaa athari hake hata kupoteza maisha tumesikia watu wengi hasa wazee wanaotumia badae chumbani mambo hugeuka na kusikia vifo kadha wa kadha.

Dawa nayoifahamu
Kuna siku katika utafiti wangu nalikutana na mtu mmoja wa asili ya Asia katika kuongea alikua na packti flani akameza kidonge kimoja nilipodadisi akanambia masaa 2 hajayo atakutana na mpenzi wake flani wa asili ya kiafrika (mbongo) hivyo anajua hasa weusi huwa wanamanjonjo sana na wapo strong hivyo huwa anapenda kuji bust ili asiishie njian.
Nilikua suprised ila kwa utafiti zaidi nikaona hapana wacha nitest mitambo pia, nakili nilijaribu na masaa 2 baada ya kukitumia nilijisikia kawaida tu kwa maelekezo ya kidonge unaweza shiriki tenda ukimeza kidonge baada ya saa 1 au 2, lakini hata usiposhiriki haina madhara wala uume hausimami mpaka utakapokua sex stimulated.

Baada ya muda nakumbuka kesho yake nilikaa hotelini na mpendwa wangu kuanua asubuhi mpaka jioni ya saa 2 usiku, sikumbuki idadi ya Gori ila tulikua na kazi ya kula chakula..maongezi kidogo tendo..maongezi kidogo tendo kwa siku 2 mfululizo.
Japo maelekezo ya kitaalamu yanasema ile dawa hukaa kwa masaa 36 nadhani nikweli maana hata kesho yake ilikua nikitaka tendo bado ningeweza tena kama sikufanya kabisa.

Najua kuna baadhi watakao soma uzi huu huenda wakahisi natangaza kujipatia wateja au kutangaza soko, Ama pengine mwingine ataenda mbali zaidi na kusema natengeneza scenario ya kupiga watu pesa.
Sina nia hiyo ila nimejisikia tu kulizungumzia maana ni kitu nacjokifahamu na humu ni sehemu ya kuelezea idea mbali mbali.

Hivyo vidonge Pharmacy zote kubwa wanavyo vinakua vya 5g, 10g na 15g
Jina lake linaanzia na herufi " S " na kuishia na " L "
maduka mengi huuza Tsh elfu 8- 10,000/= kulingana na ulipo.
Iki uliwahi kuvisikia nikweli hivyo ni habari nyingine.
Vilitengenezwa maalumu kwa watu wenye shida ya hormone chache za sex au waliopoteza hisia.
Hakikisha huna magonjwa ya pressure wala kisukari.

Nini nilikielewa hiki..ukiisha kitumia hata mdada akila nauli yako hupati pressure ya mnara kushindwa kulala maana kwanza hautakua umeinuka mpaka tu pale uwe stimulated wakat wa maandalizi.

Ushauri: kunywa maji sana...kula vizuri..kuwa mind free ukiwa na miadi ya yendo usipanik wala kuwaza ntaweza au lah hakunaga upungufu wa nguvu za kiume.
Ila kwa special case wazee wa kuonesha umwamba, ama ndo penzi jipya kumkoleza shangazi haya mara moja moja mtishe kwa hiyo.

Sijaiweka public kulinda kutangaza biashara..pia kutoa taharuki nime share idea nikijuacho.
Ukinifata nikuelekeze jina lote au hata kukutafutie lazima nitakucharge pesa ya usumbufu hilo ujiandae hahah.
Kazi kwenu wakurungwa.
Upuuzi mtupu.
 
Sildenafil is used to treat male sexual function problems (impotence or erectile dysfunction-ED). In combination with sexual stimulation, sildenafil works by increasing blood flow to the penis to help a man get and keep an erection.
hawezi kusema hapa alitaka kula vichwa pm, umemuharibia kweli maana wajinga bado wapo wengi sana, pamoja umetoa insight ila bado kuna kenge watalizwa tu.
 
Back
Top Bottom