Nahitaji mwanaume wa kula ne bata tu!!!!!!

Nahitaji mwanaume wa kula ne bata tu!!!!!!

he he he kula ngamia hii mpya

wee upo dunia gani?...watu walianza kujichana, wakaja kujiachia, wakaja kujirusha, wakacha kula kuku, wakaja kula bata, sahivi wanakula ngamia na machura ile kichina.....karibu mamaa tule ngamia.
 
Nakukongaja huku mjasiriamali le baby, achana na hao ambao wanaopewa offer wao wanaleta issue za umri na fb!! next time pm au vip tukale bata wetu!!!
Wana jf Le baby ni business Lady (self employed) anakuwa busy all the time, sasa anataka watu wa kuchill nao na watu ndo sie we just swip the live=bata!!
in time the vacant is unfilled try Swiper!!! you 'll burst with batas.
SP

he he he you have made my day sp
 
we mlimbwende umepata wakula nae bata? Kama bado nitafute leo na kesho mana tuna kalikizo ka ujio wa obama. Nitafute mwaya tukale bata, ngamia, mdudu na kila kitu achana na hao wanaoponda.
 
we mlimbwende umepata wakula nae bata? Kama bado nitafute leo na kesho mana tuna kalikizo ka ujio wa obama. Nitafute mwaya tukale bata, ngamia, mdudu na kila kitu achana na hao wanaoponda.

Nimepata kampani ila hakuna shida u can join us A town hapa
 
hili jukwaa siku hizi limevamiwa ukisoma thread kati ya nne tatu zinahamasisha dushele kusimama, mtuhurmie wengine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom