Le' baby
Member
- Jun 21, 2013
- 69
- 8
- Thread starter
- #61
Watu wazima tunahitaji watu wazima pia sio miaka 24 halafu tuongee nini na wewe??? yaani tukifuatana njiani kila mtu anajua nina CHANGU....lol tafuta watoto wenzako
Unaishi dampo ule bata na mie wanchekesha mi najua dampo zinaishi takataka off my way