Nahitaji mwanaume wa kula ne bata tu!!!!!!

Nahitaji mwanaume wa kula ne bata tu!!!!!!

Watu wazima tunahitaji watu wazima pia sio miaka 24 halafu tuongee nini na wewe??? yaani tukifuatana njiani kila mtu anajua nina CHANGU....lol tafuta watoto wenzako
 
Nahitaji mwanaume wa kula nae bata za dunia, sihitaji commitment mapenzi yashanichosha, nishaumia sana. naomba kueleweka sihitaji mvulana ila mwanaume....walio serious tu tuwasiliane.
Umri wangu ni miaka 24, mjasiriamali.
Ahsanteni.

Sisi wa IRINGA hatuli bata tunakula ile kitu inatembea ulimi nje a.k.a. "dogi" kama upo tayari karibu tujumuike pamoja.
 
Nahitaji mwanaume wa kula nae bata za dunia, sihitaji commitment mapenzi yashanichosha, nishaumia sana. naomba kueleweka sihitaji mvulana ila mwanaume....walio serious tu tuwasiliane.
Umri wangu ni miaka 24, mjasiriamali.
Ahsanteni.
Miaka 24 yashakuchosha!!!?? Kwanza wewe mwenyewe una bata hapo ulipo unataka kula bata gani wengine wa dunia?? Au ni huyu bata wako unataka wa kumla.?? Ataliwa tuu subiri watakuja waliochoka labda kama wewe.:glasses-nerdy:
 
Watu wazima tunahitaji watu wazima pia sio miaka 24 halafu tuongee nini na wewe??? yaani tukifuatana njiani kila mtu anajua nina CHANGU....lol tafuta watoto wenzako
Naona haja tukanwa siku nyingi huyu...Anatafuta kiny*s* akaoge!!
 
Nahitaji mwanaume wa kula nae bata za dunia, sihitaji commitment mapenzi yashanichosha, nishaumia sana. naomba kueleweka sihitaji mvulana ila mwanaume....walio serious tu tuwasiliane.
Umri wangu ni miaka 24, mjasiriamali.
Ahsanteni.

kama ni bata tu sawa! ila mizinga ya kipumbavu
 
Nahitaji mwanaume wa kula nae bata za dunia, sihitaji commitment mapenzi yashanichosha, nishaumia sana. naomba kueleweka sihitaji mvulana ila mwanaume....walio serious tu tuwasiliane.
Umri wangu ni miaka 24, mjasiriamali.
Ahsanteni.

kama ni bata tu sawa! ila mizinga ya kipumbavu ukiniletez me nakupa kipiga, unajua nyinyi watoto wakati mwingine mnajifanya mnataka kula bata kumbe malengo yenu ni kujikwamuz kimaisha,! Raha ya kula bata bwana ni kutokua kabusa na mawazo ya kimajukunu sa ntashangaa we wataka bata kumbe shida za maisha zimekujaa!
 
Nahitaji mwanaume wa kula nae bata za dunia, sihitaji commitment mapenzi yashanichosha, nishaumia sana. naomba kueleweka sihitaji mvulana ila mwanaume....walio serious tu tuwasiliane.
Umri wangu ni miaka 24, mjasiriamali.
Ahsanteni.


Karibu hapa kwa Mnyamwezi ule BATA MZINGA we mtoto wa kihabeshi
 
Nahitaji mwanaume wa kula nae bata za dunia, sihitaji commitment mapenzi yashanichosha, nishaumia sana. naomba kueleweka sihitaji mvulana ila mwanaume....walio serious tu tuwasiliane.
Umri wangu ni miaka 24, mjasiriamali.
Ahsanteni.

User Name: Le' baby

User Title: Member

Last Activity: 27th June 2013 15:13

Tangu ulipopost maombi yako haya hujarudi kumchukua bata wako, je utampata kweli?

Mie nakula mwewe zaidi kama uko poa njoo uwajaribu, maana bata sina!
 
Njoo na huyo bata mimi najitolea kisu na moto wa kuchomea
 
Umemsahau Mungu wako bint yangu......Hujui mwili wako ni hekalu la Allahh...
 
Umri wa 24 umechoshwa kivipi na Mapenzi?
Umri huo umeumizwa vipi?...Mke wangu anakaribia forties bado hajachoshwa na mapenzi!..my hairs!


Ushasema mkeo, sio lazima alopitia yeye mie pia nipitie na vice versa

 
Chagua jibu sahihi: Gharama za hizo bata,
(i). Unalipa wewe
(ii). Analipa huyo mwanaume
(iii). Mnachangia pasu kwa pasu

namba (iii) make shida yangu si pesa.
 
Miaka 24 yashakuchosha!!!?? Kwanza wewe mwenyewe una bata hapo ulipo unataka kula bata gani wengine wa dunia?? Au ni huyu bata wako unataka wa kumla.?? Ataliwa tuu subiri watakuja waliochoka labda kama wewe.:glasses-nerdy:

sitaki shobo
 
Duuuu salaaaleee kwahio ww unataka mtu akakusafishe nyota then akipe... 24yrs umeshachoshwa na mapenzi daaa pole kwahio uliaza kusafishwa nyota ukiwa na miaka 8?

Haikuhusu
 
Na majanga ya dunia mtakula wote? au ni bata tu.
We mwenyewe unasound bado ni msichana. Tafuta mvulana ndo anakufaa, sio mwanaume!
unahitaji wangapi walio serious?

kwani nawe unataka? idadi inakuhusu nini? ishia zako
 
Nahitaji mwanaume wa kula nae bata za dunia, sihitaji commitment mapenzi yashanichosha, nishaumia sana. naomba kueleweka sihitaji mvulana ila mwanaume....walio serious tu tuwasiliane.
Umri wangu ni miaka 24, mjasiriamali.
Ahsanteni.
huyo bata utamgharimia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom