grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
^^
24yrs? au 42yrs?
The home of great thinkers.
^^
Chagua jibu sahihi: Gharama za hizo bata,
(i). Unalipa wewe
(ii). Analipa huyo mwanaume
(iii). Mnachangia pasu kwa pasu
Ameingia mitini
^^
24yrs? au 42yrs?
The home of great thinkers.
^^
Chagua jibu sahihi: Gharama za hizo bata,
(i). Unalipa wewe
(ii). Analipa huyo mwanaume
(iii). Mnachangia pasu kwa pasu
Nahitaji mwanaume wa kula nae bata za dunia, sihitaji commitment mapenzi yashanichosha, nishaumia sana. naomba kueleweka sihitaji mvulana ila mwanaume....walio serious tu tuwasiliane.
Umri wangu ni miaka 24, mjasiriamali.
Ahsanteni.
aiseeeee babayangu tumeingiliwa na facebook humu jamvini