Nahitaji msaada wa kufungua bima ya matibabu

Nahitaji msaada wa kufungua bima ya matibabu

Kama kuna mtu unayemwamini nipatie jina lake ili niweze kumtumia halafu yeye atazichukua na kuiupatia.
labda valentina.haladu atanitumia.sina mtu wa karibu wa kumwomba akafanya hivo huku niliko.
 
Pole sana kwa maumivu unayopata, ila hongera kwa juhudi ulizochukua ili kujua tatizo liko wapi.

Nashauri uongee na jf admins/moderators, wapate uhakika wa unachosema ili waruhusu uweke contacts zako hapa, mwenye nacho kidogo akusaidie. Naamini utasaidika ili upate unachohitaji.

Again, pole sana.
Yes afanye hivyo tulichonacho tutatoa
 
Back
Top Bottom